Jolebatawi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 549
- 230
Wana JF hawa financialfreedomtz walitoa tangazo lao la ajira lililokuwa linasomeka kuwa "Are you a graduate?" sasa hawa jamaa wamenipigia simu niende kwenye interview leo saa tisa pale shinyanga motel ila bado sijafahamu hawa watu wanajihusisha na nini hasa hapa tanzania! hivyo kwa anayewajua hawa jamaa naomba atiririke hapa ikiwezekana na mishahara yao huwa ikoje?
ASANTE
ASANTE