- Thread starter
- #41
Jamani acha kulalama kama unataka nyumba tutakuonesha ukitaka kampuni za real estate tutakuonesha , mi nashughurika na biashara ya kuuza nyumba na viwanja ukihitaji hivyo v2 nitafute hayo mengine ya kwako.Hapa Bongo je iko hivyo? kama zipo kampuni sijui lakini wengi wao ni wababaishaji.