King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Kaka shemeji huogopi tsunami? Uagize basi na maboya kabisa.
Ok mkuu,ipo ufukweni kabisa?Ama ni some distance?Kama unayo ya ufukweni kabisa basi ninahitaji details mkuu,pia na picture,kwa mfano hizo hapo chini,unaweza kuona proximities zake from the water...Shukran.