Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,251
- 113,652
Porn mnaangalia,Video za mbele dirty version mnaangalia ila Hii eti maadili still akili zenu ni static hamjui maisha yamebadilika sana sio enzi zile za RTD au ITV siku iz kuna whatsapp kuna youtubu kuna smartphone full kuangalia wabongo shida saaaana. Maisha yamekua huru sana siku iz unfanya unalotaka karibu kila nyumba 10 karibia nyumba 9 wana smartphone sasa maadili sijui n yapi
Watu wanazungumzia maadili....maadili gani?
Kila siku wanatukanana huko instagram huku wenyewe wakiona sifa halafu likija suala la video wanaanza ku invoke maadili.
Mbona hatuwasikii wala kuwaona wakipiga kampeni ya kuondoa haya madanguro yaliyojivika sura za gesti au sijui loji...
Kuna maadili nchi hii?
Mijitu inapenda ngono na matusi halafu inaleta unafiki wa maadili.
Em effers.......