Luhungu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 816
- 232
Ninajiuliza suala la kupinga huu wimbo wa chura ni kuzuia uhuru wa wananchi kufanya wanachotaka au ni kuvuka mipaka ya uhuru uliopo kikatiba. Tukiwaacha hawa na wafanyao, tutaathirika vipi? Hiyo ndio kazi ya rasilimali chache tulizonazo? Kwa msio ufaham wimbo huo fikeni YouTube unaitwa chura. Nchi hii wananchi wake wanapenda sifa
Una umri gani kiakili, hata ushindwe kung'amua tatzo katika wimbo na video yake dhidi ya jamii yetu ya kitanzania?