KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Wakuu mambo vp? Nilijaribu kudownload hizo software kwa kutumia simu yangu lakini kila ninapojaribu kufungua inakataa inaniambia FILE FORMAT NOT SUPORTED nitumie njia gani ili niweze kuinstall hiyo proglam kwenye simu yangu ili niweze kuitumia kwa kublock baadhi ya watu kutonipigia cm?