AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,081
Habari wapendwa wa Jf,
Leo ni siku kubwa kwangu&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; Siku yangu ya kuzaliwa Kwa misingi ya siku niliyoingia hapa duniani ni tarehe kama ya leo June 23 miaka mingi iliyopita.
Naomba nitumie nafasi hii kuongelea MTAZAMO wangu juu ya kuzaliwa kwa mwanadamu.
Mie naamini kuwa mwanadamu katika uhai wake huendelea kuzaliwa. Mara ngapi anazaliwa upya na ni vitu ama watu gani wanachangia kwa kuendelea kwa kuzaliwa mtu huyo kunapishana. The more mwanadamu anazaliwa katika maisha yake, the more busara na hekima hukua ama kudidimia na kumfanya awe tofauti zaidi. Hutofauti huo kwa bahati mbaya ama nzuri unaweza kuwa kwa uzuri ama kwa ubaya tokana na the Choices we make&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];
Kuzaliwa upya huja pale ambapo kuna kitu ama tukio ambalo linakuwa limekugusa mno iwe kwa uzuri ama kwa ubaya kiasi kwamba hicho kitu ama hilo tukio likakubadilisha kabisa katika vitu msingi vikufafanuavyo &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Iwe Msimamo /Fikra/Mtazamo/Amani ama Imani.
Nikirudi kwangu...
Katika maisha yangu nje ya siku ya kuzaliwa naweza sema kuwa Nimezaliwa mara kadhaa&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; Naweza sema nilizaliwa upya nilipovunja Ungo katika umri mdogo mno katika kipindi ambacho wazazi walikuwa hawapo wazi na haya; ikanifanya kujipekua inakuwaje sina maumivu ya kidonda na nguo yangu ya ndani ina alama... (nilipoambiwa hiyo ni nini siwezi sahau mshangao wangu na vile ilinibadili Psychologically).
Nilizaliwa upya nilipo fanya Mapenzi kwa mara ya kwanza (kwamba it was so painful but still nilifurahia sababu tu ya kupenda &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Love can be that CRAZY!); Nilizaliwa upya nilipo onja uzazi na kujaaliwa kuzaa mtoto wa kwanza (Ikanichukua a very long time kila saa kumchungulia mtoto wangu na kujisifu kuwa am capable of that),.
Nilizaliwa upya siku baba yangu kipenzi alipofariki (Bahati mbaya sana I realized nilikuwa kipenzi cha baba baada ya kifo chake &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; I was that selfish na huwa inaniuma mno!), nilizaliwa upya baada ya kukutana na baadhi ya watu ambao wana impact kubwa sana katika maisha yangu - I really appreciate them. Tuombe uzima &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Naamini kuwa Mwenyezi Mungu akinijaalia maisha marefu bado nitaendelea kuzaliwa upya. I look forward to that&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];
My fellow members in Jf, kupitia ninyi wote naamini in a way kuwa member hapa Jf imenifanya pia nizaliwe upya&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; Kwa namna tofauti, kwa vile tunavyoshirikiana hapa jamvini kwa njia tofauti, iwe kwa discussions, mawasiliano, kusomana habari, na mengine mengi&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];. Ambayo hunifanya in a way kufurahia maisha yangu. Inaweza isiwe mar azote &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; ila in most cases its worth it.
Namshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema kwa Maisha aliyonipa na kunijaalia, Neema na Baraka zake zote alizoelekeza kwangu na kwa wale walionizunguka. "Alhamdullillah"
Wapendwa kwa leo naweza endelea kuzaliwa upya nikipata zawadi toka kwenu... Ha ha ha!
Nawatakia nyoote Jumapili njema.
Pamoja Saana with Love. :grouphug:
AshaDii.
P.S &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; It has been a wonderful day. Topped with a wonderful Cake, bahati mbaya Camera Man hakuwa makini kupiga picha cake hadi tumeila yoote! Next time takodi mwingine...
Nimependa saana jinsi jina langu lilivyodadafuliwa na niece wangu Mwali... Thanks so so Dearest!
Leo ni siku kubwa kwangu&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; Siku yangu ya kuzaliwa Kwa misingi ya siku niliyoingia hapa duniani ni tarehe kama ya leo June 23 miaka mingi iliyopita.
Naomba nitumie nafasi hii kuongelea MTAZAMO wangu juu ya kuzaliwa kwa mwanadamu.
Mie naamini kuwa mwanadamu katika uhai wake huendelea kuzaliwa. Mara ngapi anazaliwa upya na ni vitu ama watu gani wanachangia kwa kuendelea kwa kuzaliwa mtu huyo kunapishana. The more mwanadamu anazaliwa katika maisha yake, the more busara na hekima hukua ama kudidimia na kumfanya awe tofauti zaidi. Hutofauti huo kwa bahati mbaya ama nzuri unaweza kuwa kwa uzuri ama kwa ubaya tokana na the Choices we make&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];
Kuzaliwa upya huja pale ambapo kuna kitu ama tukio ambalo linakuwa limekugusa mno iwe kwa uzuri ama kwa ubaya kiasi kwamba hicho kitu ama hilo tukio likakubadilisha kabisa katika vitu msingi vikufafanuavyo &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Iwe Msimamo /Fikra/Mtazamo/Amani ama Imani.
Nikirudi kwangu...
Katika maisha yangu nje ya siku ya kuzaliwa naweza sema kuwa Nimezaliwa mara kadhaa&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; Naweza sema nilizaliwa upya nilipovunja Ungo katika umri mdogo mno katika kipindi ambacho wazazi walikuwa hawapo wazi na haya; ikanifanya kujipekua inakuwaje sina maumivu ya kidonda na nguo yangu ya ndani ina alama... (nilipoambiwa hiyo ni nini siwezi sahau mshangao wangu na vile ilinibadili Psychologically).
Nilizaliwa upya nilipo fanya Mapenzi kwa mara ya kwanza (kwamba it was so painful but still nilifurahia sababu tu ya kupenda &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Love can be that CRAZY!); Nilizaliwa upya nilipo onja uzazi na kujaaliwa kuzaa mtoto wa kwanza (Ikanichukua a very long time kila saa kumchungulia mtoto wangu na kujisifu kuwa am capable of that),.
Nilizaliwa upya siku baba yangu kipenzi alipofariki (Bahati mbaya sana I realized nilikuwa kipenzi cha baba baada ya kifo chake &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; I was that selfish na huwa inaniuma mno!), nilizaliwa upya baada ya kukutana na baadhi ya watu ambao wana impact kubwa sana katika maisha yangu - I really appreciate them. Tuombe uzima &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Naamini kuwa Mwenyezi Mungu akinijaalia maisha marefu bado nitaendelea kuzaliwa upya. I look forward to that&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];
My fellow members in Jf, kupitia ninyi wote naamini in a way kuwa member hapa Jf imenifanya pia nizaliwe upya&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; Kwa namna tofauti, kwa vile tunavyoshirikiana hapa jamvini kwa njia tofauti, iwe kwa discussions, mawasiliano, kusomana habari, na mengine mengi&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];. Ambayo hunifanya in a way kufurahia maisha yangu. Inaweza isiwe mar azote &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; ila in most cases its worth it.
Namshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema kwa Maisha aliyonipa na kunijaalia, Neema na Baraka zake zote alizoelekeza kwangu na kwa wale walionizunguka. "Alhamdullillah"
Wapendwa kwa leo naweza endelea kuzaliwa upya nikipata zawadi toka kwenu... Ha ha ha!
Nawatakia nyoote Jumapili njema.
Pamoja Saana with Love. :grouphug:
AshaDii.
P.S &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; It has been a wonderful day. Topped with a wonderful Cake, bahati mbaya Camera Man hakuwa makini kupiga picha cake hadi tumeila yoote! Next time takodi mwingine...
Nimependa saana jinsi jina langu lilivyodadafuliwa na niece wangu Mwali... Thanks so so Dearest!
Dear all,
View attachment 99316
Last edited by a moderator: