Amen Don,, tubarikiwe soteAsante sana, ubarikiwe
Nshafanya yote nikamaliza, hapa sijaja kuomba mchango sheikh. Wewe kama uko na purukushani za maisha ni wewe, kwangu kuna muda wa purukushani kutafuta hela na muda wa kutumia hela.Mwanaume unaongelea birthday party? You have a lot to do
Amna noma jomba🧢Nshafanya yote nikamaliza, hapa sijaja kuomba mchango sheikh. Wewe kama uko na purukushani za maisha ni wewe, kwangu kuna muda wa purukushani kutafuta hela na muda wa kutumia hela.