Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,427
All in all earlier is better, inapendeza unapofikisha miaka 50 na mtoto/ watoto wako anakuwa amemaliza Degree yake. tusidanganyane kwenye hili kuchelewa kuzaa kunasababishwa na matatizo mchanganyiko ya kimaisha lakini si matakwa yetu binadamu.