apo sijakuelewa...
[U]internal bleaching: inside out[/U]
dentist anatoboa tundu kwenye pulp chamber, halafa anasafisha,anaziba na root canal inakuwa-filled na material fuluni hivi ya mpira(rubber-like substance) pia anaweka perioxide gell kwenye pulp chamber ili hiyo gel iweze kufanya kazi moja kwa moja ndani ya jino kwenye layer inaitwa dentin layer. hiyo perioxide inakuwa ndani ya jino kwa mda wa siku kadhaa na kutokana na changes dentist anaweza weka nyingine tena.
hii njia kama unavyoona sio simple process, kutokana na hali ya meno inaweza kutumika, meno mengine hupeteza rangi kutokana na internal straining by blood au fluids ambazo zinaweza kuvujia kwenye jino sasa hapa hii njia inafaa sana.
kwa kifupi internal straining inaweza kusabibishwa na vitu kama vile certain medications ambazo mtu alitumia wakati wa teeth formation (kwamfano tetracyline),pia mtu anaweza kuwe exposed kwenye flouride nyingi wakati wa teeth formation, pia teeth injuries zinasababisha meno kutokuwa meupe.
external bleaching: outside in
jel(hydrogen peroxide) inawekwa kwenye teeth surface, inaanza kupambana na uchafu wa juujuu mpaka jino linakuwa jeupe.
hii njia inafaa sana kwa meno ambayo yamepoteza rangi kutokana na vitu kama sigara,kahawa,vyakula vyenye spice nyingi,masala n.k