ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Ushauri: Kumbuka matumizi ya Colgate na Whitedent pia siyo sahihi sana kwani zina flouride nyingi ambayo haitakiwi mwilini. Wapo watu wanaweka mswaki mdomoni na kuangalia kipande cha habari katika TV hadi kikiisha ndo anaendelea kusafisha meno. wapo pia watoto wanaopenda Colgate na wakati mwingine huwaambia kina mama wawaongezee kwani ni tamu na mama kutojua madhara humimina tu kwenye mswaki na kumwambia aende kusafisha meno. Fluoride tuipatayo kwenye maji inatosha kabisa ktk mwili na ikizidi huathiri pia IQ(Intelligence Quotient) ya mtoto. Kutokana na ubaya wa Fluoride iliyopo imeandikwa kuwa inatakiwa kutumia Colgate/Whitedent bila kumeza na isizidi dk 1. Watu hawazingatii hilo na wala hawafahamu. Mimi nashauri kama una uwezo wa kununua dawa isiyo na fluoride iitwayo Forever Bright toothgel ni bora ikawa ndo unaitumia nyumbani sbb haina fluoride, huacha meno yako yaking'aa na pia huondoa harufu mbaya mdomoni, kama fizi zina shida huondoa tatizo na pia vidonda mdomoni. Vilevile ukimeza haina madhara na ni dawa pia kama tumbo linasumbua. Inaweza kutumika kuondoa fungus pia. gharama yake ni chee sana kulinganisha na matumizi yake. Ni sh 13000/- tu. Tuwasiliane kwa healthwealthfirst@gmail.com pia 0713889162
nilijua tu itashia kwa hawa forever mara tngp sijui nini..