Kagosaki
JF-Expert Member
- Feb 11, 2010
- 208
- 56
Jamani napenda kuwatahadharisha kwamba muwe makini sana na bidha zinazotengenezwa na kampuni ya WESTPOINT.
Nilinunua fridge mpya hivi karibuni Quality Plaza. Baada ya wiki moja ikaharibika pamoja na kuwa na fridge guard. Nikaipeleka service, baada ya wiki moja ikaharibika tena.
Kwenye service bay ya kwao, nilikutana na watu wengi akiwemo mama mmoja alienunua jiko la umeme. Alipofika nyumbani kwake na kulichomeka, lilimrusha vibaya na kuzima umeme nyumba nzima.
Wengine walinunua vifaa vingine na kupata matatizo ndani ya wiki mbili. Nendeni mkajionee wenyewe pale service bay yao iliyoko jengo la blue kwenye makutano ya barabara ya kurasini na nyerere road, opposite Pegasus house.
Sijui kama TBS wanafanya kazi yao vizuri....
Nilinunua fridge mpya hivi karibuni Quality Plaza. Baada ya wiki moja ikaharibika pamoja na kuwa na fridge guard. Nikaipeleka service, baada ya wiki moja ikaharibika tena.
Kwenye service bay ya kwao, nilikutana na watu wengi akiwemo mama mmoja alienunua jiko la umeme. Alipofika nyumbani kwake na kulichomeka, lilimrusha vibaya na kuzima umeme nyumba nzima.
Wengine walinunua vifaa vingine na kupata matatizo ndani ya wiki mbili. Nendeni mkajionee wenyewe pale service bay yao iliyoko jengo la blue kwenye makutano ya barabara ya kurasini na nyerere road, opposite Pegasus house.
Sijui kama TBS wanafanya kazi yao vizuri....