Kuwa Tajiri au kuwa Rais Africa..kipi better?

Dah.. Mkuu the Boss..... this is not you. r u under influence of some Liquor.??
 
Kama utaudefine Uraisi Africa kwa kigezo cha kwenda Ikulu kupiga hela na kuiba,,.. then bora Uraisi. Lakini Ukiudefine kwa autumishi na kujitoa kizalendo then presidency is a shit.

dangote can buy presidency.
 
Kama utaudefine Uraisi Africa kwa kigezo cha kwenda Ikulu kupiga hela na kuiba,,.. then bora Uraisi. Lakini Ukiudefine kwa autumishi na kujitoa kizalendo then presidency is a shit.

dangote can buy presidency.

Kama ni uzalendo hata tajiri anaweza tumia pesa yake kwa charity tu
na kusaidia watu weengi zaidi....
Bill Gates anasaidia watu wengi mno kuna nchi anatumia pesa nyingi kuliko misaada ya USA kwa nchi hiyo
 
True...
Hahaa naona kama uliona Dangote akiongea leo..
umeona body language ya wanasiasa wetu ilivyo chekesha

Aisee nimecheka sana.

Kwanza Magufuli mwenyewe alikuwa anamgusa gusa bega Dangote.

Halafu wakati Dangote anaongea Muhongo alikuwa kasimama pembeni yake akionekana mdogo kweli.

Jionee hapo kwenye video.

 
Kama ni uzalendo hata tajiri anaweza tumia pesa yake kwa charity tu
na kusaidia watu weengi zaidi....
Bill Gates anasaidia watu wengi mno kuna nchi anatumia pesa nyingi kuliko misaada ya USA kwa nchi hiyo
Kwa hoja hiyo,, in African Perspective Urais haugusi kwa tajiri,.
 
Aisee nimecheka sana.

Kwanza Magufuli mwenyewe alikuwa anamgusa gusa bega Dangote.

Halafu wakati Dangote anaongea Muhongo alikuwa kasimama pembeni yake akionekana mdogo kweli.

Jionee hapo kwenye video.




Na mwijage umemuona hapo kushoto kwa Dangote?
nae mdoogo kama piritoni ..ha haa haaa
kweli 'tajiri hanuniwi'
 
Aisee nimecheka sana.

Kwanza Magufuli mwenyewe alikuwa anamgusa gusa bega Dangote.

Halafu wakati Dangote anaongea Muhongo alikuwa kasimama pembeni yake akionekana mdogo kweli.

Jionee hapo kwenye video.


Acha kabisa aisee....
 
Ukiona watu wanaanza kufananisha urais wa nchi na utajiri, basi ujue taasisi za urais zimeanza kishuka thamani..

Mkuu wa nchi ni mtu asiyepaswa kumnyenyekea mtu yeyote yule awe maskini au tajiri!

Tena hata kuitwa ikulu au kupata fursa ya kwenda ikulu inapaswa kuwa jambo ambalo utasimulia vizazi vyako vyote.

Sijui watanzania wanaichukuliaje taasisi ya urais!
 
Ukiona watu wanaanza kufananisha urais wa nchi na utajiri, basi ujue taasisi za urais zimeanza kishuka thamani..

Mkuu wa nchi ni mtu asiyepaswa kumnyenyekea mtu yeyote yule awe maskini au tajiri!

Tena hata kuitwa ikulu au kupata fursa ya kwenda ikulu inapaswa kuwa jambo ambalo utasimulia vizazi vyako vyote.

Sijui watanzania wanaichukuliaje taasisi ya urais!


kama umeona hiyo clip
na kama uliona hao mawaziri walivyokuwa wanaongea kiubabe na kimamlaka kabla ya leo
utagundua kitu.....hiko ndo kimeibua huu mjadala
 
Ukiona watu wanaanza kufananisha urais wa nchi na utajiri, basi ujue taasisi za urais zimeanza kishuka thamani..

Mkuu wa nchi ni mtu asiyepaswa kumnyenyekea mtu yeyote yule awe maskini au tajiri!

Tena hata kuitwa ikulu au kupata fursa ya kwenda ikulu inapaswa kuwa jambo ambalo utasimulia vizazi vyako vyote.

Sijui watanzania wanaichukuliaje taasisi ya urais!

Si kweli,.. nakupinga in BOLD.
 
Mmmmhh kwa sasa Kichwa Changu Kinawaza
Kisifuli Manyoya

Kesho panapo majaliwa ntachangia

Waiter zungusha
 
Utajiri wako ukiwa mkubwa vya kutosha utaweza ukaingia ikulu wakati wowote unapotaka. Halafu urais unaisha baada ya miaka mitano na muda huo unapoisha heshima ya rais mstaafu inakuwa ndogo kuliko ya tajiri mkubwa. Zaidi ya hapo, wananchi wanaweza wakawa wanampenda na kumheshimu zaidi tajiri anayewasaidia kuliko rais wao
 
Bora utajiri mkubwa kama wa Dangote maana unaweza kuutumia kupata unachotaka hata urais eg.Trump, ila unapokuwa Rais sio kwamba kila nchi utatumia madaraka kuwa tajiri nchi zingine utaishia jera au kunyongwa.
 
Kama ni urais kama wa alhaj shehe profesa Dr dikteta jenerali mtukufu Yahya Jammeh wa kutawala miaka bilioni moja ni bora kuwa rais lakini kuwa rais wa kuondoka kwa makaratasi baada ya miaka mitano au kumi bora niwe bilionea kama Dangote.
 
kama umeona hiyo clip
na kama uliona hao mawaziri walivyokuwa wanaongea kiubabe na kimamlaka kabla ya leo
utagundua kitu.....hiko ndo kimeibua huu mjadala
Nimeona,na pia nimeelewa msingi wa mada yako..

Nimeona kama kuna kujikombakomba na kujinyenyekeza kwa kiwango cha juu!

Hii imenitia mashaka!
Kwa kiasi fulani amefanywa kama ndio "mwokozi" wa uchumi wetu!
 
Back
Top Bottom