The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,871
Nimeona leo mkutano wa Magufuli na Dangote Ikulu nikajikuta najiuliza hasa kutokana na body language tu za watu wote waliokuwepo pale nikajikuta najiuliza hili swali, Mtu kuwa tajiri mkubwa kama Dangote hapa Afrika na mtu kuwa Rais kwenye nchi kama yetu Tanzania.
Kama kungekuwa na choice ya kuchagua watu wengi wangechagua kuwa nani?
Ni kweli Rais ana nguvu sana anaweza kumfunga yeyote na kumteua yeyote na kumsaidia yeyote kuwa tajiri au yeye mwenyewe kuupat utajiri na nguvu ya kugusa mamilioni ya watu wake.
But Rais ana limitations hasa mwisho ni kwa nchi yake zaidi kwingine inategemeana.
Bilionea kama Dangote influence yakeni Africa yote pia nchi yeyote ya Afrika akiingia ana access na Ikulu yoyote ile Marais kwake ni kama 'washkaji' Africa yote ni 'his playground'
Ingawa na yeye ana limitations zake kuna maeneo inabidi 'mbinu atumie' ili tu kuweza kufanya biashara zake vizuri but still ana nguvu pia za kugusa watu wengi.
Ukipewa uchague, utachagua wapi?
Kama kungekuwa na choice ya kuchagua watu wengi wangechagua kuwa nani?
Ni kweli Rais ana nguvu sana anaweza kumfunga yeyote na kumteua yeyote na kumsaidia yeyote kuwa tajiri au yeye mwenyewe kuupat utajiri na nguvu ya kugusa mamilioni ya watu wake.
But Rais ana limitations hasa mwisho ni kwa nchi yake zaidi kwingine inategemeana.
Bilionea kama Dangote influence yakeni Africa yote pia nchi yeyote ya Afrika akiingia ana access na Ikulu yoyote ile Marais kwake ni kama 'washkaji' Africa yote ni 'his playground'
Ingawa na yeye ana limitations zake kuna maeneo inabidi 'mbinu atumie' ili tu kuweza kufanya biashara zake vizuri but still ana nguvu pia za kugusa watu wengi.
Ukipewa uchague, utachagua wapi?