AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,033
U.S.A haendi siku hizi..obama kampiga stop nini.
Obama hana Muda wa kukutana na Mtu kama Kikwete, Mtu aliyeshindwa kutatua matatizo ya Umeme nchi kwake ataweza kuzungumzia mambo makubwa?
U.S.A haendi siku hizi..obama kampiga stop nini.
Wandugu,Kwa mtazamo wangu, umeme ni kila kitu kwa maisha ya kisasa. Bila umeme nchi inayumba kiuchumi na katika nyanja zote za maisha ya mwananchi. Kinachonisikitisha ni kuwa katikati ya janga hili la nchi kuwa gizani kutokana na upungufu wa umeme, mkuu wetu wa nchi yupo busy na safari za nje. Mbaya zaidi safari zenyewe ni za kustarehe tu. Nimetafakari sana hali hii na kuhitimisha kuwa nchi yetu bado haijapata kiongozi. Sijui mnasemaje wadau?
lazima ujue kuwa rais wetu sio serious kwamabo ya msingiHivi unafikiri yeye anaenda kucheza huko?
Huyu Prezdaa sie kabisa ni juha haswaaaKwa tabia ya watanzania, rais anaweza akaishi ughaibuni kwa raha zake na akaendelea kuwa rais. Kikwete anawajua vema wananchi anaowaongoza na ndiyo maana hana wasiwasi na tabia yake ya kusafiri kila kukicha.
Obama hana Muda wa kukutana na Mtu kama Kikwete, Mtu aliyeshindwa kutatua matatizo ya Umeme nchi kwake ataweza kuzungumzia mambo makubwa?
Wandugu,Kwa mtazamo wangu, umeme ni kila kitu kwa maisha ya kisasa. Bila umeme nchi inayumba kiuchumi na katika nyanja zote za maisha ya mwananchi. Kinachonisikitisha ni kuwa katikati ya janga hili la nchi kuwa gizani kutokana na upungufu wa umeme, mkuu wetu wa nchi yupo busy na safari za nje. Mbaya zaidi safari zenyewe ni za kustarehe tu. Nimetafakari sana hali hii na kuhitimisha kuwa nchi yetu bado haijapata kiongozi. Sijui mnasemaje wadau?
Kwa tabia ya watanzania, rais anaweza akaishi ughaibuni kwa raha zake na akaendelea kuwa rais. Kikwete anawajua vema wananchi anaowaongoza na ndiyo maana hana wasiwasi na tabia yake ya kusafiri kila kukicha.