Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,187
- 5,996
Ni kweli baadhi ya mafundi siyo waamifu..
Hivyo unatakiwa kuwa na utaratibu huu.. ili gari yako iwe salama pindi inapokuwa gareji..
1. Kuwa na sehemu maalumu ya kufanyia service Gari yako
2. Hakikisha gari yako inafanyiwa service katika mazingira yenye usalama na yanayoendana na thamani ya Gari yako..
3. Endapo matengenezo yanachukua muda mrefu ni vema kuandikishana vitu vyote vilivyomo ndani na nje ya Gari..
4. Wizi wa masega ndiyo kesi zinazoongoza kwenye magereji...hivyo Hakikisha unamkabidhi fundi wako... Na ukirudi ukague vibuyu vyote..
5. Baaadhi ya wamiliki huwa wanatelekeza kwa muda mrefu magari yao gereji... hii haipo sawa..
6. Service ndogo ndogo Kama za kubadilisha oil unatakiwa mwenyewe uwepo maana huwa hazichukui muda mrefu....lakini pia utakuwa na amani kwa sababu utakuwa unaona kila kitu...
7. Ogopa Sana zile gereji wanafanya kazi zao bila kukushirikisha...
Unapeleka gari gereji...halafu unaambiwa huruhusiwi kuingia huku
Mmiliki au Fundi garage unaezingatia haya tunaomba tukufaham.
C&P from unknown source
Hivyo unatakiwa kuwa na utaratibu huu.. ili gari yako iwe salama pindi inapokuwa gareji..
1. Kuwa na sehemu maalumu ya kufanyia service Gari yako
2. Hakikisha gari yako inafanyiwa service katika mazingira yenye usalama na yanayoendana na thamani ya Gari yako..
3. Endapo matengenezo yanachukua muda mrefu ni vema kuandikishana vitu vyote vilivyomo ndani na nje ya Gari..
4. Wizi wa masega ndiyo kesi zinazoongoza kwenye magereji...hivyo Hakikisha unamkabidhi fundi wako... Na ukirudi ukague vibuyu vyote..
5. Baaadhi ya wamiliki huwa wanatelekeza kwa muda mrefu magari yao gereji... hii haipo sawa..
6. Service ndogo ndogo Kama za kubadilisha oil unatakiwa mwenyewe uwepo maana huwa hazichukui muda mrefu....lakini pia utakuwa na amani kwa sababu utakuwa unaona kila kitu...
7. Ogopa Sana zile gereji wanafanya kazi zao bila kukushirikisha...
Unapeleka gari gereji...halafu unaambiwa huruhusiwi kuingia huku
Mmiliki au Fundi garage unaezingatia haya tunaomba tukufaham.
C&P from unknown source