Kuwa makini na utaratibu mpya kwa wanaotumia TTCL usije ukalizwa!

Wewe tu inawezekana hukupata ujumbe mapema,walishatuma meseji kwamba hakuna kudabo kifurushi,
Sasa kwanini kifurushi kisigome kuungwa kama hawataki dabodabo, au kwaninj pesa isirudi??

Bado huo ni WIZI tu, na lazima wengi watalizwa hapa
 
Mkuu, huo wizi unatumika karibia na mitandao yote.

Nilishawahi sema humu usipende kujiunga vifurushi viwili double (hasa vya Internet) wizi unaanzia hapo.
Ungenunua vocha za mia tano mia tano ungejiunga moja halafu moja ungejiunga baada ya kifurushi cha kwanza kuisha.
Nilikuwa nadownload mafaili makubwa...ndio maana nikaunga dabo
 
kiustaarabu na kuonyesha kuwajali wateja ingependeza walimit kwenye system kwamba kama tayari una kifurushi system ikwambie hauruhusiwi kununua kifurushi mpaka ulichonacho kiishe....yani haya makampuni kiukweli mimi naona kama wote ni baba1mama1,cha msingi uwe na line za mitandao hata 3 unabadilisha kulingana na wao wanavobadili service zao
 
Leo asubuhi nimeweka vocha ya sh 1000 ya ttcl, then nikajiunga vifurushi viwili vya sh 500 kila kimoja vya data MB 600, kwahiyo jumla ilitakiwa nipate GB1.2.

Mimi huwa nina tabia ya kuangalia salio la kawaida kabla sijawasha data kama wameshachukua pesa ili nisije nikaingia mkenge kwa kuwasha data pesa ikaliwa.

Sasa bana, wakati ninafanya matumizi ya bundle langu nikatumiwa ujumbe kuwa zimebakia MB50 na kucheki ika wa kweli. Hapo matumizi yangu hayakuwa yamefika hata GB1 na baada ya dakika chache nikatumiwa ujumbe mwingine kuwa data zimekwisha.

Ikanibidi niwapigie huduma kwa wateja kuulizia kulikoni nikaambiwa kuwa
1.Ukishajiunga na bundle moja lazima usubiri liishe ndipo ujiunge tena KWASABABU ZA KIUSALAMA
2.Pesa yako haitaweza kurudishwa, na wala hutapata kifirushi kingine.
3.Kwahiyo hatuna namna ya kukusaidia.

Hela yangu inaniuma mpaka sasa!

Ujumbe huu naomba umfikie
Jiwe
TCRA
TTCL
@Na wanaJF wote wataousoma.
Hapo napingana na wewe, mi ni mtumiaji mzur tu wa ttcl, kwanza hukuna kifurush cha mia 5 chenye mb 600, kifurushi cha mia tano unapata mb 300, pia unaweza kujiunga bila kusubili kingine kiishe, mfano mi naingiza buku najiunga kifurushi cha jiachie cha miatano cha kawaida napata mb 200 dk50 ttl-ttl fk 5 mitandao yote, na jero iliyobaki naunga internet is tupu mb300 kwahio vyote kwa pamoja natumia mpaka viishe. Pia Mb 600 ni kwa buku.
 
Hapo napingana na wewe, mi ni mtumiaji mzur tu wa ttcl, kwanza hukuna kifurush cha mia 5 chenye mb 600, kifurushi cha mia tano unapata mb 300, pia unaweza kujiunga bila kusubili kingine kiishe, mfano mi naingiza buku najiunga kifurushi cha jiachie cha miatano cha kawaida napata mb 200 dk50 ttl-ttl fk 5 mitandao yote, na jero iliyobaki naunga internet is tupu mb300 kwahio vyote kwa pamoja natumia mpaka viishe. Pia Mb 600 ni kwa buku.
Acha ubishi gillanna
IMG_20180814_193734_285.jpg
 
Leo asubuhi nimeweka vocha ya sh 1000 ya ttcl, then nikajiunga vifurushi viwili vya sh 500 kila kimoja vya data MB 600, kwahiyo jumla ilitakiwa nipate GB1.2.

Mimi huwa nina tabia ya kuangalia salio la kawaida kabla sijawasha data kama wameshachukua pesa ili nisije nikaingia mkenge kwa kuwasha data pesa ikaliwa.

Sasa bana, wakati ninafanya matumizi ya bundle langu nikatumiwa ujumbe kuwa zimebakia MB50 na kucheki ika wa kweli. Hapo matumizi yangu hayakuwa yamefika hata GB1 na baada ya dakika chache nikatumiwa ujumbe mwingine kuwa data zimekwisha.

Ikanibidi niwapigie huduma kwa wateja kuulizia kulikoni nikaambiwa kuwa
1.Ukishajiunga na bundle moja lazima usubiri liishe ndipo ujiunge tena KWASABABU ZA KIUSALAMA
2.Pesa yako haitaweza kurudishwa, na wala hutapata kifirushi kingine.
3.Kwahiyo hatuna namna ya kukusaidia.

Hela yangu inaniuma mpaka sasa!

Ujumbe huu naomba umfikie
Jiwe
TCRA
TTCL
@Na wanaJF wote wataousoma.


mkuu mbona mi nilipata sms kuwa hakuna malimbikizo ya bundle tena na pia menu ya boom kwa wanafunzi imebadilika kuwa *148*30*35#
we jamaa uwe unasomaga bana acha kulialia halafu utakuta si mwanafunzi wewe unatumia bundle la chuo
 
Ninampango wa kuhama kwa AIRTEL maana wamekula salio langu la kawaida mpaka nashindwa kuelewa, Kila mwezi huwa najiunga na kifurushi cha yatosha mitandao yote cha shilingi elfu 20 then huwa najiunga na smatika internet ya wiki ya shilingi elfu 5 so kwenye simu huwa naacha elfu 15 kwa ajili ya kujiunga kila wiki elfu 5 kwa wiki zinazobakia.

Shida ninapotaka kujiunga kwa mara ya pili ninakuta salio limepungua sana sometimes unakuta karibia elfu 3500 imekatwa kwenye salio la kawaida sasa huwa najiuliza hawa jamaa wanalengo gani na mimi....
 
Usipate shida ya kujiunga kiduchu kiduchu hivyo... Weka 2000 upate GB 3 Wiki au 5000 upate GB 7 mwezi... Kduchu kiduchu maumivu
 
Yani mimi ndio nitupa hadi line yao,nilinunua 10GB lakini kila nikitumia spidi haifiki hata 50kbps
kila niki-download kitu inakata mara kwa mara nikatupa line na bando langu la wiki nzima. Nymbani hakujanoga hata kidogo.
Poor quality of service QOS.
 
Kama unatumia PC basi ujue machine ilikuwa ina update windows. Mm huwa siamini kama kuna kuibiwà búndle
 
Voda ndio usithubutu kabisaaa yani mtu kuunga Gb 1 na ikaisha ndani ya dakika 15 bila kucheki videp yoyote wala kufanya updates za apps ni kawaida yao kabisaaa.
Voda kuna uhuni kwenye vifurushi vyao vya data.
Ukinunua night bundle ya 4 GB unapotumia ikifika 3GB tu mtandao unakata na unapata ujumbe kifurushi kimeisha.
Hii nimejaribu mara 3 nimepata matokeo yale yale.

TCRA fuatilieni hii kitu.
Hapo kwenye PC nime disable windows auto update.
 
Saa nyingine uaweza kuona unaibiwa na mitandao kumbe umewezesha auto update kwenye device yako. Na kuna background services au apps ambazo zinakula bundle yako.

Kwa vodacom ni wao wanaongopa matumizi ya data. Unachonunua na unachokutana nacho kwenye matumizi ni pungufu.

Same device ukitumia mitandao mingine kama airtel au Halotel ktk matumizi unapata kiasi kile kile ulichonunua kina wiana na ulichotumia.
 
Back
Top Bottom