Ndugu wana Jf niinajaribu kufikiri suala la katiba ya ichi yetu, nimeshindwa kuelewa vema. Rais anavunja cabinet wakati gani, lini? swali msingi sana kwanini bunge livunjwe afu cabinet ibaki na one condition ya kuwa cabinet member ni kuwa mbunge? je hawa mawaziri walioshindwa kwenye kura za maoni nguvu yao iko wapi! naomba tujadili ili niweze kuelewa maana uchambuzi wa sheria its not my professional!