oldd vampire
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 253
- 52
habari wana jf doctor,mm nina tatizo kila nikifanya mapenz na mpnz wangu navimba uke kiasi kwamba siwezi kurudia raundi ya pili,na hata nikirudia anapokua anasugua nakua nimelowa sana tu,ila akimaliza tuu akichomoa nimevimba,na kuna uma kweli yaani,hili ni tatizo gani?