libent JF-Expert Member Oct 29, 2011 382 84 Nov 23, 2011 #1 wana jf naombeni kuuliza maana ya ku PM na inafanya vipi kazi naombeni msaada
Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,372 2,375 Nov 23, 2011 #2 kutuma Private Message ambayo ni kati yako wewe na member uliemtumia tu..member wengine hawaioni.kama unavyotuma email msg kwa mtu...
kutuma Private Message ambayo ni kati yako wewe na member uliemtumia tu..member wengine hawaioni.kama unavyotuma email msg kwa mtu...
libent JF-Expert Member Oct 29, 2011 382 84 Nov 23, 2011 Thread starter #3 Inkoskaz said: kutuma Private Message ambayo ni kati yako wewe na member uliemtumia tu..member wengine hawaioni.kama unavyotuma email msg kwa mtu... Click to expand... hii inaaply hata kwa wanaotumia simu au mpaka utumie pc
Inkoskaz said: kutuma Private Message ambayo ni kati yako wewe na member uliemtumia tu..member wengine hawaioni.kama unavyotuma email msg kwa mtu... Click to expand... hii inaaply hata kwa wanaotumia simu au mpaka utumie pc
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Nov 23, 2011 #4 libent said: hii inaaply hata kwa wanaotumia simu au mpaka utumie pc Click to expand... hata simu inafaa mpendwa......
libent said: hii inaaply hata kwa wanaotumia simu au mpaka utumie pc Click to expand... hata simu inafaa mpendwa......
Mwita25 JF-Expert Member Apr 15, 2011 3,831 1,164 Nov 24, 2011 #6 PM za JF hazina maana kabisa kwasababu hata mods huwa wanaziona.