'Kuuliza si ujinga'.

Brightman Jr

JF-Expert Member
Mar 22, 2009
1,225
232
Habari wakuu! Tafadhali naomba kuelimishwa jinsi ya kufungua na kusoma mafaili ya pdf kwa kutumia simu. Wataalam msaada tafadhali.
 
Nokia 3110C haina uwezo wa kusoma mafaili.Chakufanya!
Kwakuwa simu yako ina memory card basi hizo pdf na doc zi download halaf hakikisha unazihifadhi kwenye memory. Nunua card reader ambayo utaitumia kuweka mcard na kuunga kwenye PC yako na ukayasoma au ukayahamishia huko au vyovyote utakavyopenda!
 
Wakuu wote hapo juu nawashukuru sana kwa ushauri na maoni yenu. Nitayafanyia kazi.
 
its easy brother kusoma pdf sio lazima utumie software unaweza kusoma online kama unapenda kujifunza search google keywords hizi 'online pdf viewer' kama hupend kujisumbua ingia link hii

Online viewer for PDF, PostScript and Word

Make sure link yako utakayo ipaste iwe imeishiwa na .pdf

Hapa ntakupa tutorial kwa opera 5 kupanda juu hadi opera 7.

-jinsi ya kupata direct link ya .pdf
Hapa utaenda hadi sehemu ya kudownload (hakikisha ukiclick tu hapo ndo inadownlod) hold centre button halafu click open in new tab. Katika new tab utapata direct link ya pdf

-how to save
Hapa itabidi utumie option ya opera ya saved pages isave ili kuview anytime you want bila kuload net

Note: hapa nimekufundisha kwa online kama file lipo kwenye memory card li upload hiyo web.

Kwa maswali zaidi ikiwa hujaelewa tuma chini
 
Habari wakuu! Tafadhali naomba kuelimishwa jinsi ya kufungua na kusoma mafaili ya pdf kwa kutumia simu. Wataalam msaada tafadhali.

Pia unaweza kuingia kwenye Nokia apps store uka download pdf reader na uka install kwenye simu yako, hata kama si smart phone.

I had such nokia phone before and been able to view pdf after installing a reader
 
Back
Top Bottom