neggirl JF-Expert Member Jul 30, 2009 4,843 2,117 Jun 13, 2011 #22 Kibinadamu hayo yanaweza kuwa magumu kutekelezeka, lakini twayaweza yote katika yeye atutiae nguvu.
S shoshte Senior Member Apr 9, 2011 129 20 Jun 13, 2011 Thread starter #23 neggirl said: Kibinadamu hayo yanaweza kuwa magumu kutekelezeka, lakini twayaweza yote katika yeye atutiae nguvu. Click to expand... ni kweli ndio maana nikasema tukimtanguliza Mungu na kuomba pamoja yote yatawezekana.
neggirl said: Kibinadamu hayo yanaweza kuwa magumu kutekelezeka, lakini twayaweza yote katika yeye atutiae nguvu. Click to expand... ni kweli ndio maana nikasema tukimtanguliza Mungu na kuomba pamoja yote yatawezekana.