Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
Sasa yote ya nini? kutembea na cheti cha ndoa.
Si ndo hapo sasa??
Sasa yote ya nini? kutembea na cheti cha ndoa.
why thinking kuachana..mnajua maana ya ndoa kweli..
Kwa nini unawaza divorce wakati umekubali kuolewa na unayempenda na yeye anakupenda..unless kama umelazimishia kama wadada wengi wanavyofanya siku hizi.. Stop being negative...
i will never change my name! period! kesho keshokutwa tumedivorce, nafuta tena majina ya mume wa zamani, naweka ya mume mpya YM! GOD FORBID!
Mnaogopa sana kuachana eeh? Mbona hamuwazi kifo?
Kijino ndoa yako changa nini? Je ukiachwa utabadirisha tena?? Hitwa jina lako hilo hilo.
Ubaki na jina lako bhana... utasumbuka hapo baadae kwenye mambo fulani, huwa vinasumbua. wewe mtaani jiite tu mama Mkumbukwa, lakini usibadili kwenye documents zako za kazi, nk.
Kubadili jina haijalishi, imagine jina lenyewe kilivyo "mrs. Mkumbukwa"
Baki na jina ulopewa na wazazi wako.
Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
wala co changa, tuna miaka 6, tatizo mr ananisumbua nikiandika jina langu kwa ubini wa baba, nimemwambia ctoweza badili majina, kwanza usumbufu, na mda sina.
Hope for the best, prepare for the worst!!
Hebu tuambie wewe unaejua maana ya ndoa......
Asanteni kwa ushauri wenu
Au amuambie shemeji wabadilishane majina wote kama Beyonce na Jay Z @all?
Pamoja na kushukuru tuambie sasa umeamua nini?