Siri Sirini
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 547
- 198
Samahanini kama si mahala pake, me hki kitu kinanichanganya, husika na kichwa cha habari, mfano me naitwa Mary Andrew Katundu, nimeolewa na Richard Moses Mkumbukwa, je itabidi niitwe Mary Richard Mkumbukwa au Mary Andrew Richard? Mana kwenye kadi zangu za bank na vitambulisho nimetumia ubini wa baba mana nilikuwa bado sijaolewa, je naweza badilisha nitumie ubini wa mume?