Haizuii. Ila lubricant inafanya mambo yasiwe mengi utelezi uwe kimo cha hanang.Habari zenu Wakuu,
Kuna ukweli wowote kuwa ukitumia mafuta/lubricant unaweza kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono?
NAOMBA MNIJIBU WAKUU
Asante kwa kunijibu Mkuu.Haizuii. Ila lubricant inafanya mambo yasiwe mengi utelezi uwe kimo cha hanang.
Elimu ni Bahari Mkuu, Elimu haina mwisho.Sa we ni mjanja m1 unakuaje hujui mkuu
Kwahyo HIV unaweza kupata, au haiwezekani?kitu pekee unazuia ni michubuko
Sawa Mkuu.Inazuia mpaka ukimwi
Hahaha Lubricant ni kilainishi Mkuu, ni mafuta.Tusaidiane hapo, Lubricants hizi za vyuma na injini au kuna nyingine. Hii mbona hatari asee
Nijuavyo kutumia mafuta hakuzuii STIs. Mfano ukijipaka vaseline yako baada ya kuoga kisha baadae ukaenda kufanya unprotected sex una uwezekanao mkubwa wa kuwa infected.Habari zenu Wakuu,
Kuna ukweli wowote kuwa ukitumia mafuta/lubricant unaweza kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono?
NAOMBA MNIJIBU WAKUU
unapata fanya kutafta zile emmergency pills mzeeKwahyo HIV unaweza kupata, au haiwezekani?
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Nipe somo Mkuu, inasaidia au miyeyusho?Hariiiii magwaaaaaayaaaaa
Asante kwa ushauri Mkuu.Nijuavyo kutumia mafuta hakuzuii STIs. Mfano ukijipaka vaseline yako baada ya kuoga kisha baadae ukaenda kufanya unprotected sex una uwezekanao mkubwa wa kuwa infected.
Hata usipojipaka mafuta pia unaweza kupata STIs.
So issue sio kutumia/kujipaka mafuta. Issue ni kuacha ngono. Oa ukae na mke wako mmoja ambae mmepimana afya zenu ziko okay.
Ndio zipi hizo, au PEP Mkuu?unapata fanya kutafta zile emmergency pills mzee
hizohizoNdio zipi hizo, au PEP Mkuu?
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Zile hazishauriwi kutumika mara kwa mara, na pia zile dawa ni mahususi kwa watu walioathirika ndani ya masaa 72 tu.hizohizo