jastertz
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 392
- 743
Habari JF's,
Kumekuwa na mfululizo wa matukio ya kuwashwa kwa baadhi ya watu, wengine wakiwa wanasikilizia tu muwasho kimya kimya, hadi pale utakapomuelezea hali yako ndo na yeye anasema ''Hata mimi pia nawashwa sana hasa kwenye jua.''
Kwangu mimi sichukulii kama jambo dogo, Ningependa kuona wale ndugu zetu au mamlaka husika zikichukua sampuli zipelekwe maabara ijulikane tatizo ni nini, limetokana na nini na namna ya kuondoa hili tatizo.
Binafsi kutembea kwenye jua siwezi, joto kali siwezi kukaa, wakati before nilikua normal, badae nikaja kugundua siko peke yangu tupo wengi wenye changamoto hiyo hata badhi ya mikoa. Ukienda kupata huduma unapewa dawa za alergy kama centrizine+panadol.
Tusitegemee tu wenye ngozi nyeupe watusemee, baada ya kuwa kubwa. Wataalamu kazi kwenu.
Nawasilisha.
Kumekuwa na mfululizo wa matukio ya kuwashwa kwa baadhi ya watu, wengine wakiwa wanasikilizia tu muwasho kimya kimya, hadi pale utakapomuelezea hali yako ndo na yeye anasema ''Hata mimi pia nawashwa sana hasa kwenye jua.''
Kwangu mimi sichukulii kama jambo dogo, Ningependa kuona wale ndugu zetu au mamlaka husika zikichukua sampuli zipelekwe maabara ijulikane tatizo ni nini, limetokana na nini na namna ya kuondoa hili tatizo.
Binafsi kutembea kwenye jua siwezi, joto kali siwezi kukaa, wakati before nilikua normal, badae nikaja kugundua siko peke yangu tupo wengi wenye changamoto hiyo hata badhi ya mikoa. Ukienda kupata huduma unapewa dawa za alergy kama centrizine+panadol.
Tusitegemee tu wenye ngozi nyeupe watusemee, baada ya kuwa kubwa. Wataalamu kazi kwenu.
Nawasilisha.