Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
- Thread starter
- #21
Chadema tupeni mwongozo hapa. Kwani hakuna namana hata ya kupitisha referandum ya kimfanyia impigment huyu jamaa haijalishi atakufa na nani maadamu sisi walalhoi tunapona?
Mi nadhani tumuibulie suala la uraia, kuwa sio raiwa wa TZ na arudishwe India hata kwa nguvu. Potelea mbali, acha tuonekane wabaguzi but kwa MASLAHI YA UMMA!