Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Taarifa za "kiintelijensia" zilizonifikia punde zinadai kuwa RA hakufurahishwa kabisa na kitendo cha Radio ya Mzee Mengi kum-attribute baba wa Ismail na kuripoti ukweli.
Pamoja na kwamba taarifa ya radio one ilimuudhi RA na kuongeza uhasama kati yake na mzee Mengi, lakini inadaiwa taarifa hiyo ilidhalilisha gazeti la HabariLeo ambalo ni amana ya serikali. Hivyo kuna tetesi kuwa unasukwa mpango kabambe (kaka Imma mkuu wa wizara akihusishwa) wa kuitafutia kosa radio one ili waweze kuifungia na kumaliza hasira zao. Mwenye taarifa zaidi juu ya tetesi hizi atujuze.
Pamoja na kwamba taarifa ya radio one ilimuudhi RA na kuongeza uhasama kati yake na mzee Mengi, lakini inadaiwa taarifa hiyo ilidhalilisha gazeti la HabariLeo ambalo ni amana ya serikali. Hivyo kuna tetesi kuwa unasukwa mpango kabambe (kaka Imma mkuu wa wizara akihusishwa) wa kuitafutia kosa radio one ili waweze kuifungia na kumaliza hasira zao. Mwenye taarifa zaidi juu ya tetesi hizi atujuze.