G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Member wenzangu najua 2 wazima mie langu leo ni kuhsu voda leo asbh nimegundua kuwa wamebadilisha maandish ya mtandao wanaandika kwa herufi kubwa"VODACOM§ TZ" Na pia wameanza kuuptudate mda(saa) ya kwnye cm. Sijui wenzangu mna taarifa zingine khs mabadiliko yao haya ya hivi karibuni!!!?