Josephine
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 786
- 812
Watu ni wengi wameanza kujitokeza,waheshimiwa wabunge,viongozi wa serikali ngazi mbalimbali,na wananchi kwa ujumla wakiungana na wanafamilia pamoja na wanachadema.
Mda si mrefu mwili wa marehemu utawasili ndani ya viwanja hivi.
Napenda kuwakaribisha nyote,zoezi hili halitachukua mda mrefu zaidi ya masaa 2.na baadae safari ya kuelekea Ifakara.
Mshumaa wetu umezima.
Kwa picha bonyeza link hii chini:
[h=3]PICHA: Yaliyojiri Karimjee katika kumuaga Regia Mtema[/h]
Mda si mrefu mwili wa marehemu utawasili ndani ya viwanja hivi.
Napenda kuwakaribisha nyote,zoezi hili halitachukua mda mrefu zaidi ya masaa 2.na baadae safari ya kuelekea Ifakara.
Mshumaa wetu umezima.
Kwa picha bonyeza link hii chini:
[h=3]PICHA: Yaliyojiri Karimjee katika kumuaga Regia Mtema[/h]