samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
sijui na mimi nitangaze nia???????????? hawajamaa wamefanya urais kuwa rahisi sana. dah
Hata huyu anafikiria kuwa Rais ..........CCM imekosa mwelekeo
labla wakiungana wote na wananchi wao
Heshima Mbele;
Ukiweka siasa pembeni ukamsikiliza kwa makini Prof.Muhongo utadadavua kwamba kwa wana wa ugambani hakuna mtu size yake anajidhalilisha sana kupambana na watu the likes of Edward Lowassa hawana hadhi ya kushindania nyadhifa yoyote nchini na duniani na Prof.Muhongo.
Huyu jamaa ni shida kafanya kazi Africa peke ake nchi 52 kati ya 54 wakati Lowassa Africa kafanya kazi Monduli,Arusha,Lumumba na Dodoma.
Its a shame kwamba kutokana na siasa maandazi za wana wa Ugambani anaonekana mtu wa kawaida ila huyu kiumbe ni mashine nyingine...
Mi nadhani tufanye tathmini, tujue yafuatayo:-
1. Lowasa alitumia bei gani
2. Mwigulu
3. Wassira
4. Makongoro
5. Prof. Mhongo
6. yule wakusoma wa mzumbe
6. Sumaye
7. Prof Mwandosya
8. na wengine wote
ANAzingua huyuu anajisifia uongo..mara WAfaransa sijui nilifanya nao utafiti...nimepanda ngazi ya juu..uongo tu
Muhongo: Tangu mwaka '80 mimi ujerumani ni nyumbani