ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,119
- 49,843
Hakuna neno unaloweza kutumia ila kusema Heshima ya Tanzania kwenye Majukwaa ya Kimataifa imerejea na Sasa Nchi inatafsiri Kwa vitendo Diplomasia ya Uchumi Kwa njia ya Mikutano ya Kitalii.
Kabla ya Rais Samia kuingia madarakani Tanzania ilipoteana na kupotea kabisa kwenye Ramani ya Dunia na Afrika kwenye nyanja ya diplomasia ya Uchumi na Utalii wa Mikutano ambapo Kwa mara ya mwisho iliporomoka Hadi kufikia namba 15 Kwa Afrika.
Kumbi zake za mikutano Maarufu kama AICC,JKICC na mahoteli Maarufu ya Kitaliikama Ngurdoto,Impala,Naura Springs nk yalianza kupata hasara Hadi kufikia kuuzwa huku wamiliki wakipata pressure na wengine kufa kutokana na hasara,kufa Kwa utalii na kubambikiwa Kodi na harassments walizofanyiwa awamu Ile.
Ila Mungu si athumani akamleta Mama wa Taifa Samia ambae alifanya kazi kubwa ya kubadili image mbaya iliyojengeka na Sasa matumaini yamerejea tena.
Haraka haraka Tanzania ikaanza kupata Watalii,makongamano ya Kimataifa na Biashara kuanza kurejea Upya kiasi kwamba Sasa Nchi ikapanda kutoka nafasi ya 15 Hadi Nafasi ya 5 Afrika ikitanguliwa na Nchi za South Africa, Morocco,Rwanda, Egypt kisha Tanzania.
Kwa Sasa ni nadra sana mwezi kupita bila Kumbi zetu kupata mikutano ya Kimataifa ya Kanda nk na Kwa Sasa zimeanza kujiendesha Kwa faida kutoka kula hasara miaka 5 iliyopita.
Aidha Ili kujidhatiti Serikali imepanga kujenga kumbi nyingine zaidi kwenye Mikoa ya Dar,Dodoma na Arusha ambapo Kwa kuanzia Imeanza ujenzi wa Ukumbi mkubwa wa pili Afrika wa KICC Jijini Arusha na inakusudia kupanuka zaidi na kuboresha ukumbi mkubwa JKICC Ili Kila mmja uwe na uwezo wa ku accommodate washiriki zaidi ya 3,000 na Kuifanya Tanzania kuwa namba 3 Afrika.Ni aibu Tanzania kupitwa na Rwanda.
Hongera sana Rais Samia Kwa kazi nzuri chini ya Kijana wa Mikakati Ephraim Mafuri na kazi iendelee 👇
View: https://youtube.com/watch?v=T7ab8tXKRxo&si=ONofJ6xaQx-b8JCf
Kabla ya Rais Samia kuingia madarakani Tanzania ilipoteana na kupotea kabisa kwenye Ramani ya Dunia na Afrika kwenye nyanja ya diplomasia ya Uchumi na Utalii wa Mikutano ambapo Kwa mara ya mwisho iliporomoka Hadi kufikia namba 15 Kwa Afrika.
Kumbi zake za mikutano Maarufu kama AICC,JKICC na mahoteli Maarufu ya Kitaliikama Ngurdoto,Impala,Naura Springs nk yalianza kupata hasara Hadi kufikia kuuzwa huku wamiliki wakipata pressure na wengine kufa kutokana na hasara,kufa Kwa utalii na kubambikiwa Kodi na harassments walizofanyiwa awamu Ile.
Ila Mungu si athumani akamleta Mama wa Taifa Samia ambae alifanya kazi kubwa ya kubadili image mbaya iliyojengeka na Sasa matumaini yamerejea tena.
Haraka haraka Tanzania ikaanza kupata Watalii,makongamano ya Kimataifa na Biashara kuanza kurejea Upya kiasi kwamba Sasa Nchi ikapanda kutoka nafasi ya 15 Hadi Nafasi ya 5 Afrika ikitanguliwa na Nchi za South Africa, Morocco,Rwanda, Egypt kisha Tanzania.
Kwa Sasa ni nadra sana mwezi kupita bila Kumbi zetu kupata mikutano ya Kimataifa ya Kanda nk na Kwa Sasa zimeanza kujiendesha Kwa faida kutoka kula hasara miaka 5 iliyopita.
Aidha Ili kujidhatiti Serikali imepanga kujenga kumbi nyingine zaidi kwenye Mikoa ya Dar,Dodoma na Arusha ambapo Kwa kuanzia Imeanza ujenzi wa Ukumbi mkubwa wa pili Afrika wa KICC Jijini Arusha na inakusudia kupanuka zaidi na kuboresha ukumbi mkubwa JKICC Ili Kila mmja uwe na uwezo wa ku accommodate washiriki zaidi ya 3,000 na Kuifanya Tanzania kuwa namba 3 Afrika.Ni aibu Tanzania kupitwa na Rwanda.
Hongera sana Rais Samia Kwa kazi nzuri chini ya Kijana wa Mikakati Ephraim Mafuri na kazi iendelee 👇
View: https://youtube.com/watch?v=T7ab8tXKRxo&si=ONofJ6xaQx-b8JCf