Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Updates plse
Kesi imeahirishwa kwa dakika kumi, wakili wa serikali ameomba hivyo.
Wadau, nipo Kwenye chumba cha mahakama arusha ambapo ksi ya maandamano ya arusha inayo wakabili viongozi waandamizi wa CDM inaendelea.
Katika Hali isiyo ya kawaida, wakati wakili mkuu wa srikali akiendelea kusoma mashtaka ya washtakiwa ghafla wananchi waliopo ndani na nje ya mahakama wakashanhilia kwa makofi, vifijo, na klele pale msoma mashtaka alipsema
"mshtakiwa wa nne lema, aliendela kunishana na polisi akiwaambia kazi Yao sio kuzuia maandamano Bali ya kuyaongoza na kuyalinda"
mshtakiwa wa tatu philemoni ndesamburo akihutubia, aliwaambia polisi, kikwete anaanza kuandika historia ya vurugu nchini, kikwete huna baba? Unatupiga mabomu wakati mkoloni hakutupiga mabomu? Unataka kushindana na ndesamburo kwa hivi vipolisi ambavyo maisha Yao yamechakachuliwa? Kikwete hutaziweza vurugu za ndesamburo"
ghafla vifijo vikaamka tena, wananchi wakashangilia wakisma ....kweli..... Kweli....
Hii picha tamu sana. Nitawajuza.
Ujamalizia maneno ya Ndensamburo..tutafanya nchi isitawalike tena
Hii hotuba ya ndesamburo ilikuwa nzuri sana. Naitafuta sana. mwenye video aibandike hapa!Wadau, nipo Kwenye chumba cha mahakama arusha ambapo ksi ya maandamano ya arusha inayo wakabili viongozi waandamizi wa CDM inaendelea.
Katika Hali isiyo ya kawaida, wakati wakili mkuu wa srikali akiendelea kusoma mashtaka ya washtakiwa ghafla wananchi waliopo ndani na nje ya mahakama wakashanhilia kwa makofi, vifijo, na klele pale msoma mashtaka alipsema
"mshtakiwa wa nne lema, aliendela kunishana na polisi akiwaambia kazi Yao sio kuzuia maandamano Bali ya kuyaongoza na kuyalinda"
mshtakiwa wa tatu philemoni ndesamburo akihutubia, aliwaambia polisi, kikwete anaanza kuandika historia ya vurugu nchini, kikwete huna baba? Unatupiga mabomu wakati mkoloni hakutupiga mabomu? Unataka kushindana na ndesamburo kwa hivi vipolisi ambavyo maisha Yao yamechakachuliwa? Kikwete hutaziweza vurugu za ndesamburo"
ghafla vifijo vikaamka tena, wananchi wakashangilia wakisma ....kweli..... Kweli....
Hii picha tamu sana. Nitawajuza.
Hii hotuba ya ndesamburo ilikuwa nzuri sana. Naitafuta sana. mwenye video aibandike hapa!
wewe wala hauko Arusha, uko lumumba unajiandaa kwenda kula ubwabwa
Wanaharakati makini walio ndani ya CDM, Zitto na Mnyika, huwezi kuwasikia kwenye mambo ya kipuuzi. Wanajua wanachokifanya.
Ndio maana huwa nasema na nitaendelea kusema, CDM ina watu wawili tu wenye akili. Hebu CDM jipangeni tena.
Wanaharakati makini walio ndani ya CDM, Zitto na Mnyika, huwezi kuwasikia kwenye mambo ya kipuuzi. Wanajua wanachokifanya.
Ndio maana huwa nasema na nitaendelea kusema, CDM ina watu wawili tu wenye akili. Hebu CDM jipangeni tena.
Bora CHADEMA kuna wawil. CCM hakunaga!Wanaharakati makini walio ndani ya CDM, Zitto na Mnyika, huwezi kuwasikia kwenye mambo ya kipuuzi. Wanajua wanachokifanya.
Ndio maana huwa nasema na nitaendelea kusema, CDM ina watu wawili tu wenye akili. Hebu CDM jipangeni tena.
Arusha hatutaki mashoga, kafie mbali huko..
Rejeo ndio nini? Kiwasi je?Rejeo kumbe na wewe ni Kiwasi?
Wanakibia upuuzi unaofanywa na wana CDM wenzao. Wanatamani sana kurudi CCM.mmmh! haya kama ni kweli.... lakini nijuavyo mie ndege mjanja ukimbiza mbawa zake zisipigwe manati
Wadau, nipo Kwenye chumba cha mahakama arusha ambapo ksi ya maandamano ya arusha inayo wakabili viongozi waandamizi wa CDM inaendelea.
Katika Hali isiyo ya kawaida, wakati wakili mkuu wa srikali akiendelea kusoma mashtaka ya washtakiwa ghafla wananchi waliopo ndani na nje ya mahakama wakashanhilia kwa makofi, vifijo, na klele pale msoma mashtaka alipsema
"mshtakiwa wa nne lema, aliendela kunishana na polisi akiwaambia kazi Yao sio kuzuia maandamano Bali ya kuyaongoza na kuyalinda"
mshtakiwa wa tatu philemoni ndesamburo akihutubia, aliwaambia polisi, kikwete anaanza kuandika historia ya vurugu nchini, kikwete huna baba? Unatupiga mabomu wakati mkoloni hakutupiga mabomu? Unataka kushindana na ndesamburo kwa hivi vipolisi ambavyo maisha Yao yamechakachuliwa? Kikwete hutaziweza vurugu za ndesamburo"
ghafla vifijo vikaamka tena, wananchi wakashangilia wakisma ....kweli..... Kweli....
Hii picha tamu sana. Nitawajuza.
Wanaharakati makini walio ndani ya CDM, Zitto na Mnyika, huwezi kuwasikia kwenye mambo ya kipuuzi. Wanajua wanachokifanya.
Ndio maana huwa nasema na nitaendelea kusema, CDM ina watu wawili tu wenye akili. Hebu CDM jipangeni tena.
Acha utotosawa mzee wa kuhemewa uchogoni.