Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Hata mimi sijamsoma kabsaa.Sikuelewi.
kama kuharibiwa angeharibiwa Anna Makinda ambaye alitajwa sana na hatimaye akapata uspika.
Hata mimi sijamsoma kabsaa.Sikuelewi.
Saa ngapi?
Hata mimi sijamsoma kabsaa.
kama kuharibiwa angeharibiwa Anna Makinda ambaye alitajwa sana na hatimaye akapata uspika.
Kuna mtu kamtaja 'huyo' hapa? utafungwa wewe ala!Jamani tujitahidi kusoma watu vizuri. Kuna watu wamemtaja Zitto kuwa ndiye atakayeteuiwa ma mkulu kuwa waziri kwa sababu ni maswahiba. Baadaye Invisible akasema mnawaharibia watu. Ukiunganisha habari jibu liko wazi, mnamharibia Zitto, kwani hadi mtu ataje waziwazi?
Kuna mtu kamtaja 'huyo' hapa? utafungwa wewe ala!
Uwezekano wa jipya kuwepo ni mkubwa... Najua wengine mtashtuka ikitokea mtu wa kambi ya upinzani ataingia katika baraza jipya
Kwa kuzingatia haja ya kuendeleza umoja wa Zanzibar na Muungano wa Tanzania, chama cha CUF wameombwa kupendekeza mtu mmoja atakeyeteuliwa katika cabinet.
Ndugu zetu wa Chadema wasitegemee chochote kwani wameyakataa matokeo na hawamtambui Kikwete kama raisi wao.