Uwezekano wa jipya kuwepo ni mkubwa... Najua wengine mtashtuka ikitokea mtu wa kambi ya upinzani ataingia katika baraza jipya
..sifa na tabia zifuatazo
-mjeuri
-si msikivu
-mpenda sifa binafsi
-hujikanganya na kutetea jambo hata kama anaona anaharibu
-kwa ufupi ni mtata
Uwezekano wa jipya kuwepo ni mkubwa... Najua wengine mtashtuka ikitokea mtu wa kambi ya upinzani ataingia katika baraza jipya
palepale alipotangaziwa kikwete kuwa president! Mdaaaaa mmmh mdaaa wowote kesho mkuu!atatangazia wapi?
Mda gani?
Una akili sana wewe...eh? unadhani sarakasi zinafanywa bila malipo?Mh! Unamzungumzia NYEPESI??
Mkuu,
Kwani kuna kifungu cha katiba kinachomzuia rais kutowachagua viongozi katika kambi ya upinzani kuwa mawaziri? Ningependa kukipata kifungu hicho
Mh! Unamzungumzia NYEPESI??
Eh..tunajaribu ku-pre-empty..kwi kwi kwi..ha ha ha! we ndio umeanika kabisa!
Ila inaonekana mheshimiwa ana kigugumizi sana kutangaza!
kweli hatakama alitakiwa kuchaguliwa mmemwalibia sasa!mnawaharibia watu...!
Uwezekano wa jipya kuwepo ni mkubwa... Najua wengine mtashtuka ikitokea mtu wa kambi ya upinzani ataingia katika baraza jipya
Sikuelewi.Mnawaharibia watu...!
Mh! Unamzungumzia NYEPESI??
. . .Expected this as you are a hero you BASH Zitto on JF!
For your information i was to be a Minister in February 2008. I have always strived for change and not positions. Wewe endelea kuota na time will tell
Mnawaharibia watu...!