Adriano Pamain
Member
- Jan 8, 2013
- 19
- 8
Sababu za kujiuzulu nini?
Zitakuwa zilezile.Sababu za kujiuzulu nini?
Mchagga bwana, ni shiida.UKAWA hawajajipanga ,ila wanatuburuzwa tu na Dj Mbowe, yaan mbowe anawafanya wenzie ngazi
Kila mtu kammaliza wa kwake, Slaa amemalizwa na Mbowe, Lipumba amemalizwa na Seif Shariff.Mbowe kamaliza dr slaa na prof Lipumba
Wanaweza fika octoba lakini si kwauimala unaotakiwa na mm nisha jisemea kushika nch sikutoka chooni bas mojakwa moja uwerais, kunamipango na utaratibu wa muda mlefu tatizo watu hawataki kuelewa kuwa MBOWE hana akili ya kisomi zaid analindwa na uzezeta wa FUATA UPEPO, na watakubari oktoba maccm yatawapiga kama yamesimama uraisWalisema 'penye udhia penyeza rupia', kwa nini tunajiumauma wana UKAWA hatutaki kusema ukweli? Au mnaona aibu? Rupia ishapenyezwa hapo na ndio inaiua UKAWA hivyo, nyie endeleeni tu kufanya ni siri hamjui "mficha maradhi ..... humuumbua" Wala Oktoba 25 haifiki UKAWA watakuwa washagawana mbao, kila mtu ataondoka na kipande chake.
Kweli kabisa mkuu hata mm siwapendi CCM lkn siridhiki kuwarithisha UKAWA, hawana uwezo wa kuendesha hii nchi tunavyotaka na inaweza ikawa mbaya kabisa tukajasema bora ccm. Tuwe makini hiki kipindi cha mpito, tusifanye majaribio, tufanye kitu tulicho na uhakika nacho!Wanaweza fika octoba lakini si kwauimala unaotakiwa na mm nisha jisemea kushika nch sikutoka chooni bas mojakwa moja uwerais, kunamipango na utaratibu wa muda mlefu tatizo watu hawataki kuelewa kuwa MBOWE hana akili ya kisomi zaid analindwa na uzezeta wa FUATA UPEPO, na watakubari oktoba maccm yatawapiga kama yamesimama urais
tusubir tuone yatakayojiriaiseeeee
mwaka huu
Na wewe punguza uzushi, ona sasa umeumbuka, Lipumba amekanusha. Njaa itawaua nyie waandishi mnaotanguliza matumbo
Wewe mchumia kichwa uko wapi sasa!! Hizi kazi za uandishi, tena wa uchunguzi zina wenyewe. Tuachie. Wewe kaa pembeni tuwe tunakupatia za ukweli. Umeumbuka sasa.