Kwako wewe mdhamini wa Chama unaelewa inamaanisha nini???Kiongozi mkubwa te teteeeeee
Unajua maana ya mjumbe wa bodi ya udhamini wa chama?Kiongozi mkubwa te teteeeeee
Mmh! Ni huyu mpinzani aliyeanziwa kupigiwa kelele na promo nyingi na Polepole tangu jana au kuna mwingine wa maana anahamia ccm leo?
Amekuja kwenye ghala la mafisadi kujificha.kakutapeli nini? Au kwa vile kahama CHADEMA ndio unasema ivyo?
Huyu ndiye kiongozi mkubwa wa upinzani aliyemsema Polepole?
Mi nikajua Lowassa anarudi CCM.
Labda hivyoKwa mtazamo wa ki ccm
DuuhNi nani?