Mtu wa Kwao
JF-Expert Member
- Jan 15, 2008
- 258
- 21
MUSOMA HOYEEEEEEEEEE.Wadumu watu wa musoma kwa kweli hawa wanastahili pongezi sana na huyo Mathayo ajue kabisa watu wamemchoka sana na hawataki hata kumuona .huyu nae yupo kwenye orodha ya hao mia watakaoachwa.endeleeni kuwazomea sana hata wakiwa na mwenyekiti wao na mikoa mingine ifuate nyayo za musoma