Kutoka Butiama: Exclusive news

....gavana anatakiwa asiwe partisan, sasa basi kama yupo au analazimishwa kuwa partisan basi li-skendo lingine kama la Balali lipo njiani!!!
politics za TZ bwana zinachosha kabisa......
 
Mkuu Ndulu, ni mtendaji wa serikali ya CCM, ambayo rais wake aliyempa kazi alichaguliwa kwanza ndani ya vikao vya CCM, kabla ya kuwa rais wa serikali ya CCM.

Mkuu pamoja na kuwa kateuliwa na Rais toka CCM lakini yeye si mtendaji wa CCM na anaweza kabisa kukataa kuhudhuria kikao hicho cha kamati kuu, kama angekuwa na ubavu lakini anaonekana anafuata mstari ile mbaya, anawajibika kwa Rais, waziri wa fedha, baraza la mawaziri lakini hawajibiki kwa kamati kuu ya CCM
 
Wakuu ninawasikia, point mnayojaribu kuisema iliyotufikisha hapa wabongo ni ile tabia ya kuwa na meneja na mwenyekiti wa CCM kiwandani na kuwa na almost nguvu sawa, enzi zile za awamu ya kwanza, that is not the case here,

NEC wamemuita gavana kwenye kikao chao, hatujui sababu waliyomuitia, isipokuwa ninaweza ku-specualte kuwa wanataka kusikia kutoka kwa gavana mwenyewe, hasa baada ya mchanganyiko wa Meghji na Balali, kwamba hawataki kuona makosa yale yale yanarudiwa, na besdies wao kama vyama vingine vyote vya siasa wanayo haki ya kumuita, now ninaona attempts kujaribu kuugeuza huu mjadala uwe as you want, lakini haiwezekani wakuu the fact ni kwamba NEC watengenezaji wa sera za serikali yao ya CCM wamemuita mmoja wa watekelezaji wa sera zao, binafsi sioni tatizo liko wapi?

Maneno mengi mnayosema sasa, hayahusiani kabisa na Ndulu kwenda huko Butiama, Ndulu ni responsible kwa serikali ya CCM, na anatekeleza sera za serikali ya CCM, sasa watengenezaji sera wa CCM, yaaani NEC kwa nini iwe tatizo kumuita kwenye kikako chao muhimu cha taifa cha kutengeneza sera hizo zinazotekelezwa na Ndulu kama gavana? I do not get it? Off course kumuita Ndulu huko kama Ndulu, yes it could be a problem, lakini kama gavana mtekelezaji wa sera za uchumi za serikali ya CCM, ambazo zinatengenezwa na NEC,

guys unless kuna something else kwenye hii ishu I am misssing, kumuomba gavana kwenda kuhudhuria kikako cha NEC ni tatizo, I am lost wakuu!
 
Wakuu ninawasikia, point mnayojaribu kuisema iliyotufikisha hapa wabongo ni ile tabia ya kuwa na meneja na mwenyekiti wa CCM kiwandani na kuwa na almost nguvu sawa, enzi zile za awamu ya kwanza, that is not the case here,

NEC wamemuita gavana kwenye kikao chao, hatujui sababu waliyomuitia, isipokuwa ninaweza ku-specualte kuwa wanataka kusikia kutoka kwa gavana mwenyewe, hasa baada ya mchanganyiko wa Meghji na Balali, kwamba hawataki kuona makosa yale yale yanarudiwa, na besdies wao kama vyama vingine vyote vya siasa wanayo haki ya kumuita, now ninaona attempts kujaribu kuugeuza huu mjadala uwe as you want, lakini haiwezekani wakuu the fact ni kwamba NEC watengenezaji wa sera za serikali yao ya CCM wamemuita mmoja wa watekelezaji wa sera zao, binafsi sioni tatizo liko wapi?

Maneno mengi mnayosema sasa, hayahusiani kabisa na Ndulu kwenda huko Butiama, Ndulu ni responsible kwa serikali ya CCM, na anatekeleza sera za serikali ya CCM, sasa watengenezaji sera wa CCM, yaaani NEC kwa nini iwe tatizo kumuita kwenye kikako chao muhimu cha taifa cha kutengeneza sera hizo zinazotekelezwa na Ndulu kama gavana? I do not get it? Off course kumuita Ndulu huko kama Ndulu, yes it could be a problem, lakini kama gavana mtekelezaji wa sera za uchumi za serikali ya CCM, ambazo zinatengenezwa na NEC,

guys unless kuna something else kwenye hii ishu I am misssing, kumuomba gavana kwenda kuhudhuria kikako cha NEC ni tatizo, I am lost wakuu!

Mkuu hii ilikuwapo kabla ya vyama vingi, baada ya kuwa na vyama vingi utamaduni huo ulifutika na haupo tena.
 
baada ya kuwa na vyama vingi utamaduni huo ulifutika na haupo tena.

Mkuu huu wa kumuita gavana wa benki kuu kwenye mikutano mikuu ya vyama vya siasa, unatakliwa kuwa utamaduni mpya wa kukubaliwa na vyama vyote vya siasa, sasa kilichobaki ni waziri wa kivuli wa hazina kumuita Gavana Ndulu kwenye mikutano mikuu ya chama chake, CCM watawala wameanza rasmi, ni wajibu wa upinzani ambao ni waongozwa kufuatia the leader,

I mean mkuu ni lazima tukubaliane kuwa so far hakuna sheria ya jamhuri iliyovunjwa, kwa kumuomba Ndulu kuhudhuria kikao cha NEC Butiama, au?
 
Mageuzi huanzia North kwa kawaida.

Hapa USA North ndo walipambana mpaka USA tunayoijua leo ikaundwa.

Museven alianzia mapambano yake North akatwaa nchi.

Vietnam waliwatwanga USA kutokea North.

Mao alishinda vita China na kutwa nchi akitokea North.

Wazungu nao walikuja kutoka North kututawala.


Msumbiji walipambana na mreno wakitokea North.

Kabila naye alianzia North kule Goma na kuitwa nchi.

Mageuzi ya North yatatiririka taratibuna na kusambaa nchi nzima.

Mambo yose North


north ukigeuka ni south una habari hiyo?

mkoloni aleondolewa kupitia dar jee ni north?
lkn umejitahidi kuunda hoja bravo
 
i don't want to be a speculator. Lakini will it make a difference kama Prof Ndulu anakwenda Butiama? It doesn't matter kama anakwenda au laa.

One thing naamini labda wakajaribu kumpika huko Butiama, wamwambie apunguze speed yake ya kuja kwenye media na kuongea ukweli ndani ya BoT.

The science of Economy is something that has nothing to do with CCM. Kama uchumi unakwenda shimoni we will find out no matter what. Huwezi ficha kidonda cha uso bwana. CCM wanajua kwamba muda wowote nchi itaanza kupumulia machine, nadhani kumuita Ndulu uko Butiama ni kujilipulia moto wenyewe.

Mwache aende ili akawapakulie habari za ndani, na sisi tuna wapambe wetu watakuja kutuuzia habari then the next thing wawekezaji hewa wataambia hali ya uchumi, at the end of the day Vodacom itabaki minara tuu. That is the good thing about stupid economy
 
north ukigeuka ni south una habari hiyo?

mkoloni aleondolewa kupitia dar jee ni north?
lkn umejitahidi kuunda hoja bravo

ninawapa tano, lunyungu peleka mashambulizi butihama ili tuwe informed. I like your reporting together with all people in line.
 
Labda tujiulize zaidi, je gavana anaenda kuhudhuria kikao cha NEC au anaenda kutoa semina kwenye kikao cha NEC. Hivyo viwili ni vitu tofauti.

Kama anaenda kuhudhuria kikao cha NEC basi hapo kuna matatizo lakini kama anaenda kutoa semina au lecture kwa kweli sioni kabisa ubaya wake.

Tatizo hapa ni kwasababu watu wana wasiwasi na wizi wa pesa BOT, lakini anayetaka kuiba kweli angetangazia umma wote kwamba wanataka kuongea na gavana?

Nafikiri tunalikuza hili jambo bila sababu za msingi. Labda tusubiri mpaka
tumejua nini kitatokea huko na ndio tuanze kuchambua zaidi.

naona hata vyama vya siasa wamekaa kimya, inaelekea hata wao hawaona kama kuna issue kubwa.
 
Watu wa Musoma bigup sana,Naombeni kuuliza elimu za zamani zilikuwa na tatizo gani kwani viongozi wetu waliowengi walisoma elimu hizo na yanayotokea sasa viongozi wetu wanashindwa kutambua makosa yanayofanywa na baadhi ya viongozi na wao kuendelea kulaumu wananchi na vyama vya upinzani na hali wao hawaoni kuwa wanatupelekea kuwa na hali ngumu za kimaisha halafu wakija wanahitaji tuwashangilie kwa nguvu zote Je tutaweza kushangilia wakati hatujaweza kupata maisha bora kama walivyo tudanganya?

Sikiliza hii kauli ya moja ya viongozi wetu "Baadhi ya wahsani wanamahusiano na vyama vya upinzani na wapinzani wakiwaomba wasichangie fedha kwenye budget yetu mpaka wafanye mambo fulani kwanza na wahsani wanawasikiliza wapinzani na mambo yanakuwa magumu,Je hapa tatizo ni wapinzani ama viongozi wetu kwani wakitumia raslimali zote vizuri bila kufuja ninani atapiga kelele? je hili hata mtu ambaye hana elimu yeyote nafikiri anaweza kubaini ukweli wa kelele zinazopigwa na wananchi ni za nini?
 
na bado..mpaka kieleweke

Napata habari kwamba hali ni tete na Mkapa hawezi kuwatizama watu wa Butiana machoni kwa aibu maana alilazimisha maji toka bwawa la mwalimu Nyerer kutumika katika kiwacha chao ambacho leo kina utata.Wana hoji kwamba hata Mwalimu kalala katika eneo lake la utawala lakini watu wanachukua dhahabu na kuwaacha watu wa Zanaki nk wanakufa njaa na hawana matumaini.Bwana Mwalimu alijengewa watu wamekuwa wakivua sakamu humo na kujipa maisha lakini Mkapa na kundi hawakujali .Musoma watakao washangalia ni wale wapambe lakini watu real wakiwemo akina Musuguri wana hasira na wako kimya .Muulize general Kiaro juu ya uongozi wa sasa utamsikia anavyo waeleza ukweli .
 
Mkuu wangu, kwanza ninataka kuamini kuwa wewe ni mbongo mwenzangu, maana haiwezekani ukawa mbongo ukashindwa kujua kuwa kustaafu mapema kwa Mahita, ex-Police Chief, hoja ilianzia NEC na baadaye CC, kwamba Mbilinyi waziri wa zamani wa hazina hoja ya kumpuzisha ilianzia NEC, kwamba majuzi kujiuzulu kwa Lowassa na mawaziri watatu, hoja zimetokea NEC na CC, I mean kamati ya CCM ya ulinzi na usalama kazi yake ni nini? kamati ya uchumi ya CCM kazi yake ni nini?

Ni pamoja na kufuatilia ishus za uchumi za taifa, kukutana na gavana na waziri at their call, kwa hiyo kama kuna ishu wanatakiwa kuifikisha kwenye NEC, ni lazima wawaite waziri na gavana, ili kuwasilisha their side of the professional story inayowakilishwa na kamati kwa NEC, bunge hufanya hivyo pia kumbuka kuwa hiyo professional Nduulu ameipata baada ya kuchaguliwa na rais, ambaye ni mwenyekiti wa CCM, ambaye taifa tumempa nafasi kisheria kutekeleza sera za CCM, ikiwa ni pamoja na sekta ya uchumi,

Hivi kweli haya yanahitaji kuwa professor kuelewa, hivi mkuu kweli unaaamini kuwa mkuu wa majeshi na wa polisi sasa hivi hawako Butiama tayari!

Stop making text book arguements..you and i both know Kamati za Uchumi na Ulinzi za CCM etc etc hazina kazi yoyote..they are irrelevant..Mawaziri coz they are from CCM wenyewe huwa wanainform the party when necessary..acha kusoma structure ya party as its supposed to work and fool us kwamba CCM actually follows those procedures...
 
Napata habari kwamba hali ni tete na Mkapa hawezi kuwatizama watu wa Butiana machoni kwa aibu maana alilazimisha maji toka bwawa la mwalimu Nyerer kutumika katika kiwacha chao ambacho leo kina utata.Wana hoji kwamba hata Mwalimu kalala katika eneo lake la utawala lakini watu wanachukua dhahabu na kuwaacha watu wa Zanaki nk wanakufa njaa na hawana matumaini.Bwana Mwalimu alijengewa watu wamekuwa wakivua sakamu humo na kujipa maisha lakini Mkapa na kundi hawakujali .Musoma watakao washangalia ni wale wapambe lakini watu real wakiwemo akina Musuguri wana hasira na wako kimya .Muulize general Kiaro juu ya uongozi wa sasa utamsikia anavyo waeleza ukweli .

Nimeipenda sana hoja hii,kweli wasoma wanaakili na hoja.Huyu fisadi Mkapa acha kabisa roho na dhamira imsute.Hakuna adhabu mbaya sana kama kuteswa na dhamira.Huo utajiri aliojilimbkizia sijui unamfaidisha nini sasa katika hali kama hii.
 
Mkuu Ndulu, ni mtendaji wa serikali ya CCM, ambayo rais wake aliyempa kazi alichaguliwa kwanza ndani ya vikao vya CCM, kabla ya kuwa rais wa serikali ya CCM.

Ubishi usio kuwa realistic...basi hata mfagiaji bot ni mtendaji wa serikali ya CCM, kwasababu wameajiliwa na BOT ambayo inaongozwa na serikali ya CCM..

Mbona unafumbia macho swala la kwamba kaitwa kwa sababu ya matatizo kibao wa wizi ambao unaweza kuunguzia jina chama, sera gani za uchumi za CCM in the past ambazo zimezaaa matunda hadi sasa wanamwita Ndulu?? (kwani yeye ni lecturer wa economics..si wangeenda UD kuchukua advice..Issue ni kuzima na kupika EPA Reports!!!)

Watu wa Uchumi wa BOT kila kikao dodoma wanaenda kutetea serikali na uwongo wao..usifumbe macho support chama chako ni haki yako lakini pia kosoa maovu!!
 

Nimeipenda sana hoja hii,kweli wasoma wanaakili na hoja.Huyu fisadi Mkapa acha kabisa roho na dhamira imsute.Hakuna adhabu mbaya sana kama kuteswa na dhamira.Huo utajiri aliojilimbkizia sijui unamfaidisha nini sasa katika hali kama hii.

Well haya mambo ndiyo ukweli wenyewe ulivyo na CCM hawawezi kupendwa hadi watu wa Tanzania wawe na maisha ya kueleweka kama walivyo wake na watoto wa mafisadi.
 
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, imeanza kikao chake mchana huu hapa Butiama. Salaam kutoka kijijini Butiama.
 
Back
Top Bottom