Kutoka bungeni... nimemsikiliza wenje hadi nikasisimka.

unampa kibali cha ujenzi,kesho unakuja kumbomolea,keshokutwa anakuburuza mahakamani,halafu unachukua hela ya kodi yangu unamlipa at a hiked price...Pumbavu kabisa!! halafu tunataka kuendelea...labda kuendelea kurudi nyuma!
 
Kwani kaongea kuhusu nini tupeni kwa kirefu wengine hatupo jirani na TV.

Sijajua jamaa kavutiwa na nini.kati ya mengi aliyo yaongelea. Binafsi,kanikosha,jinsi alivyo ongelea nyumba zilivyo bomolewa,ufukweni mwa bahari Dar. Kalalamika,inakuwaje serikali inafanya kazi kwa KUVIZIANA? Iweje jamaa wameachwa kujenga,mpaka ghorofa linaisha,watu wanahamia,yote hayo,serikali inaona,leo hii,wanaenda kuwabomolea huku wanashangilia?
 
Namshukuru Mungu Kura yangu haikupotea bure. Tulichokutuma umetekeleza, ila ule upande wa pili, Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii, wana akili lakini hawazitumii, Mungu ibariki CDM ndiyo imebaki kuwa mtetezi wetu. Nyamagana huwa hatuna kawaida ya kurudisha mbunge lakini kwa Wenje 2015 utavunja huo mwiko.
 
Leo bungen wakati Tundu Lisu akichangia maada katika wizara ya ardhi ..amesema serikal ni kuadi wa wakezaji..ambao ni mabepari uchwara..katika kuchangi mmbunge mmja wa ccm akaomba muungozo eti Tundu Lisu ametamka maneno machafu...binafsi nimeskitika sana nikajiuliz hv inakuwaje mtu anayepora ardhi anaitwa bepari uchwara, then kuna watu wanawatetea?..mh Hakika ccm ni Janga la kitaifa..Mungu atusaidie
 
Hapo kama mchezo tu...serikali inakupa hati then baadaye inakubomolea nyumba yako kwan hili hawakuliona toka mwanzo..tuanze na wizara husika then tumuangalie mwananchi..
 
Actually wabunge wa ccm wanatetea wawekezaji maana wao ndo wanaokula 10pcnt na haya makampuni.Ndio maana hata maana ya muwekezaji haieleweki kwani kama mtu anakopeshwa na serikali mpaka hela ya mishahara na bado tunamuita muwekezaji!Mtu ana matrekta 10 anapewa ekari 10,000 anaitwa muwekezaji.Mwisho wao unakaribia.
 
Siku watalogwa wavunje jengo la tanesko ndo watamjua lowasa ni nani.
Unaweza kumchezea mtu lakini hawezi kukuruhusu uingize kidole jichoni kwake.
 
Leo wanakupa kibali ujenge..kesho wamebadilika wanabomoa Ukienda mahakamani kudai HAKI yako, wanamweka Jaji Rwakibarira mwingine, anakunnnnnnnyongereeeeea mbali!
 
Siku watalogwa wavunje jengo la tanesko ndo watamjua lowasa ni nani.
Unaweza kumchezea mtu lakini hawezi kukuruhusu uingize kidole jichoni kwake
....We? wavunje Nyumba ya Bosi wa Kamati ya Bunge ya Usalama wa NCHI???????
wataimba kisukuma cha kihaya (Chato)
 
huu ni ukweli mtupu..serikali inayotoa hati ya ujenzi wa nyumba hiyo hiyo ndiyo inayobomoa nyumba


lakini tusisahau pia pamoja na uzembe wa "hawa mabwepande" kuna watu wanapenda sana kuhonga watu wa mipango miji ili wajenge maeneo yasiyoruhusiwa, then wanalalamika kubomolewe, lazima wajue dili haramu huisha kwa njia haramu
 
Watu wengi mmefurahi sna kuvunjiwa magorofa na nyumba mbl mbl za vigogo na watu wengine wengi... Hivi karibuni Magufuli alisema jengo la Tanesco Ubungo lazma livunjwe.. okay fine lakini Wenje hpa anahoji: WALIOTOA VIBALI VYA MAJENGO HAYO KUJENGWA NI NANI.! NA WANACHUKULIWA HATUA GANI KMA SIO VISASI NDANI YA CHICHIEMU..??

Nakubaliana na Wenje 100% kwasababu kubwa 1;

1. Ni Wizara ya ardhi iliyotoa hati za majengo hayo kujengwa na hzi bomoa bomoa ni visasi tu.

Kma dhamira ya dhati ya kubomoa ingekuepo basi ata wale wahusika wakutoa hati na vibali hvy lazma wafikishwe kwenye vyombo vya sheria ikiwemo serikali kwa kujipa Hati na kujenga jengo la Tanesco sehemu isiyohusika.

Pesa za walipa kodi sasa kuchezea chezea itakua mwiko bila kufanya hvy ni UNAFKI tu utaendelea.........

nawakilisha...

Kwakweli inabidi serikali ijipange upya kwenye mambo ya ardhi.

Hawa waliotoa vibali ndio wangeanza kuoneshwa mlango wa kutokea halafu nyumba kuvunjwa baadae.

Maana serikali inaweza kupelekwa mahakamani kwa kuvunja kitu kilicho halali halafu hela zetu walipa kodi mabilioni yakaenda kulipa fidia mxxxxm.
 
Back
Top Bottom