Cha ajabu nini?
Si imeamua kubadilisha mawazo!
Cha ajabu nini?
Si imeamua kubadilisha mawazo!
ndio,Kweli ww unafikiria?
Inawezekana, kwani we hujawahi kubadilisha mawazo?huo ndo ukomo wa mawazo yake.
African! We always like to make mistakes. But the results are matching around development ideas. Hatutafika unapobomoa nyumba uliyotoa kibali matokeo yake kulipa hela za waTz. Mipango ya serikali kama hii haiwezi kuwa endelevu.
Wenje! Wenje! Wenje.
huu ni ukweli mtupu..serikali inayotoa hati ya ujenzi wa nyumba hiyo hiyo ndiyo inayobomoa nyumba
Siasa ni kama homa ya vipindi,hupanda na kushuka leo pumba kesho pointi ndo siasa yenyewe