Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,971
- 10,465
hakuna cha maana hapo,ni mbunge gani anaweza kumuuliza swali EL, zaidi ya wawili watatu tena kwa kumpongeza ktk kufanikisha kumaliza tatizo la umeme na kujenga shule nyingi kama ilani ya uchaguzi inavyosema.
Hakuna atakayethubutu kuuliza swali la ajabu ajabu toka sisiemu, maana anajua kuwa ataitwa kule kwenye vikao vayo vya siri na ataonywa na kupewa karipio kali.
Hawatathubutu! Sijaona mbunge yoyote mahiri wa sisiemu wa kumuuliza Lowassa maswali yenye mantiki kwa maendeleo ya taifa.