Jembajemba
JF-Expert Member
- Feb 3, 2007
- 257
- 32
1. Tanzania tuna utamaduni wa kujadili kwa hoja na kwa amani sii kutishiana maisha!
2. Naona strategically baada ya yale ya Zitto -CHADEMA waliona wajipange vema na kwa makini zaidi- hence Slaa akaondoa hoja ya BoT.
3. Hivi wandugu CUF sii wapo wengi Bungeni? Mbona sijawaskia? Mbona CHADEMA wamesikika zaidi? Au wamekuwa na mkakati wa kuwa kimya kwanza?
Mbona wanazungumza - si huyo Hamad Rashid na yule mwenzake anaeitwa Khalifa wote ni wa CUF hao au wewe hujawasikia?