sun wu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 2,020
- 1,419
Kwanza kabisa ni muhusika (huyu mdogo mtu) ndio atakuwa anasay, na anachuliaje hii issue,(sababu bila yeye kuafiki hakuna mahusiano), pili ni kaka mtu atakuwa anao uzito pia kwenye hii issue (ila uzito wake sio mkubwa sana as muhusika akikubali there is nothing he can do) ila bora na yeye akiafiki as sio vema ndugu kugombana sababu yako (as inaweza ikakutokea puani mbeleni) hao ndugu na jamaa they dont have to know kama nyie watatu mtafikia muafaka..
In short hapa kosa lilifanyika kuanzia mwanzo kwa binti kutokuwa wazi kutokea mwanzo, afanye haraka kumwambia huyo mdogo mtu kuhusu hii issue kabla mdogo mtu hajagundua mwenyewe as ikiwa hivyo kutakuwa hakuna trust.
In short hapa kosa lilifanyika kuanzia mwanzo kwa binti kutokuwa wazi kutokea mwanzo, afanye haraka kumwambia huyo mdogo mtu kuhusu hii issue kabla mdogo mtu hajagundua mwenyewe as ikiwa hivyo kutakuwa hakuna trust.