Kutazama picha/video za ngono ni hatari sana

BEHOLD

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
5,057
10,715
Amani kwenu bandugu.

Nimependa tushee hii habari.

Katika huu ulimwengu wa smartphones, kati ya picha/video zinazopakuliwa, kutazamwa na kuhifadhiwa sana ni picha na video za ngono.

Hakika zina mvuto wa aina yake haswa kwa watu wa aina yake, lakini sidhani kama watamazaji wanaojifunza jambo/mambo la/ya hatari katika picha hizi:-

KWANZA: Picha/video hizi, kwa kiwango kikubwa, zinaboreshwa kitekinolojia, hivyo hazina ule uhalisia kwa asilimia kubwa. Ni maigizo zaidi ya kufikirika kuliko ukweli.

PILI: Picha/video hizi zina madhara sana kwa saikolojia na mfumo wa akili. Chukulia mfano jinsi maisha/tamaduni ya nje yanavyoharibu mindset za sisi weusi.

Chukulia mfano Soka, Mziki na mavazi ya kigeni vinavyotufanya kudharau vya kwetu.

Vivyo hivyo aina ya picha na video hizo pamoja na ufeki wake, zimechangia sana dharau kwa "faragha zetu", ambapo hata hamu ya tendo la ndoa na furaha yake vimeshuka sana kama sio kupotea kabisa katika mahusiano.

TATU: Picha/video hizi ni mpango wa shetani kuleta "ibada ya uharibifu" kwa watu wa MUNGU, ndio maana kupitia kwa picha /video hizi kufuru zilizokatazwa na misahafu za UFIRAJI, USAGAJI, NGONO NA WANYAMA n.k. vimeendelea kusambaa, kustawi na kukubalika na walio wengi na hata serikali za mataifa.

Yapo mengi yakuzungumza, lakini hakika tunahitaji kutafakari na kuchukua hatua.
 
Amani kwenu Bandugu.

Nimependa tushee hii habari;

Katika huu ulimwengu wa smartphones, kati ya picha/video zinazopakuliwa, kutazamwa na kuhifadhiwa sana ni picha na video za ngono (mtombano).

Hakika zina mvuto wa aina yake haswa kwa watu wa aina yake, lakini sidhani kama watamazaji wanaojifunza jambo/mambo la/ya hatari katika picha hizi:-

KWANZA, Picha/video hizi, kwa kiwango kikubwa, zinaboreshwa kitekinologia, hivyo hazina ule uhalisia kwa asilimia kubwa. Ni maigizo zaidi ya kufikirika kuliko ukweli.

PILI, Picha/video hizi zina madhara sana kwa saikolojia na mfumo wa akili. Chukulia mfano jinsi maisha/tamaduni ya nje yanavyo haribu mindset za sisi weusi. Chukulia mfano Soka, Mziki na mavazi ya kigeni vinavyotufanya kudharau vya kwetu. Vivyo hivyo aina ya picha na video hizo pamoja na ufeki wake, zimechangia sana dharau kwa "faragha zetu", ambapo hata hamu ya tendo la ndoa na furaha yake vimeshuka sana kama sio kupotea kabisa katika mahusiano.

TATU, Picha/video hizi ni mpango wa shetani kuleta "ibada ya uharibifu" kwa watu wa MUNGU, ndio maana kupitia kwa picha/video hizi kufuru zilizokatazwa na misahafu za, UFIRAJI, USAGAJI, NGONO NA WANYAMA nk, vimeendelea kusambaa, kustawi na kukubalika na walio wengi na hata serikali za mataifa.

Yapo mengi yakuzungumza, lakini hakika tunahitaji kutafakari na kuchukua hatua. KWARESMA NJEMA!
asante kwa elimu hii nzuri
 
4. ZInasababisha upigaji wa punyeto.
5. Zinachochea maambukizi ya zinaa na mapenzi kabla ya ndoa. vitu kama anal sex, group sex, hawatumii hata kondomu.
6. Wanawake wengi waliomo kwenye hizo porn hawakupenda wamelazimishwa na ugumu wa maisha hivyo kuangalia hizo ni kama kuunga mkono uzalilishaji wa wanawake.
 
Picha za ngono na filamu za ngono zimechangia kwa kiwango kikubwa sana kuongezeka kwa upungufu wa nguvu za kiume.....siku hizi yale maungo nyeti yanayoamsha hisia za mapenzi yanaonekana wazi wazi na kwa wakati wowote....kiasi kwamba hata wahusika wanapoingia falagha hujikuta hawana tena msisimko tena wa kufanya hilo isipokuwa kwa kujilazimisha....

Picha za ngono zimefanya tendo la ndoa lionekane kuwa ni jambo la kawaida sana kuzidi hata ulivyo ukawaida wenyewe....ule ufaragha wa tendo la ndoa haupo tena kwani ni jambo ambalo linaweza hat kufanyika hata mbele ya halaiki ya watu.....

Matendo kama kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile au waanaume kufirana vimekuwa ni vitu vya kujivunia ndani ya jamii iliyopotoka kutokana na picha hizi chafu.......

Picha hizi zimewafanya watu kila muda wawaze kubanduana tu badala ya kufanya shughuli za kulijenga taifa...kutokana na kukithiri kwa utazamaji wa video hizi iimekuwa sio jambo la ajabu kusikia watu wamekutwa wakibanduana hata huko maofisini....

Madhara ni makubwa sana yanayokuja kutokana utizamaji wa picha hizi kama mamlaka husika hazitachukua hatua mapema....kwani kuna uwezekano wa kujenga taifa la wapenda ngono kuliko wafanya kazi kwa bidii na kukuza uchumi.....

Akili kichwani mwako.....
 
Faida
1. Ni biashara inalipa vizuri sana
2. Inakupa umaarufu Mkubwa pia. Unakuwa superstar (porn star)
3. Unalipwa huku unapata utamu pia

Hizo ni kwa wanaoshiriki
Faida za kuangalia

1. Unapata mautundu ya mapenzi kwa kujifunzA styles tofauti tofauti
2. Inaokoa ndoa nyingi mfano jogoo akishindwa kunyanyua hema unacheki movie kidogo then unaamsha jogoo an game inaendelea
3.inasaidia kianzisha game kwa madomo zege. Dem akija ghetto wewe weka movie. Lazima upate kitu
4. Kwa wanachama wa CPT( chama cha punyeto Tanzania ) hizi movies ni muhimu sana.

Jazia na wewe faida
 
Back
Top Bottom