Nakubaliana na kila kitu ulichoandika. Ila hapo unaposema thamani ya hela inaonekana baada ya kuitumikia jamii naomba ufafanue zaidi mkuu. Inawezekana sijaelewa vizuri point yako hapo. Asante sana.Hii ni mada ambayo kila mmoja atafikiri kulingana na ubora wa elimu aliyonayo. Lakini tukumbuke kwamba jamii na dunia kwa ujumla inaendeshwa na maamuzi atakayofanya kila mmoja.
"The purpose of education is to make a world a better place". Thamani ya pesa inaonekana baada ya kuitumikia jamii, na pesa haina thamani yeyote kama itapatikana kwa kuikandamiza jamii kwa namna moja ama nyingine.
Jamii yenye wasomi wanaofikiria thamani ya pesa zaidi ya thamani ya njia ya kupata pesa naifananisha na jamii ya kiafrika, jamii ambayo inawasomi wenye pesa lakini dunia yao haina pesa.
Mkuu umeandika vizuri lakini sasa mm ninachojiuliza mbona kuna watu wana elimu wanaitumia effectively lakini bado hawana pesa ? Mfano waalimu wapo wanaofanya kazi kweli kweli tena mfano kama mm huwa nafundisha kweli kweli sipendi kuona mwanafunzi hajaelewa alafu niridhike najikuta natumia muda wangu kuhakikisha ameelewa nilichopanga aelewe lakini kila siku nina shida mpaka basi ,kwa sababu sioni wakuapriciate mchango wangu,unakuta hata daraja unaliangaikia mpaka unakata tamaa.Hii ni mada ambayo kila mmoja atafikiri kulingana na ubora wa elimu aliyonayo. Lakini tukumbuke kwamba jamii na dunia kwa ujumla inaendeshwa na maamuzi atakayofanya kila mmoja.
"The purpose of education is to make a world a better place". Thamani ya pesa inaonekana baada ya kuitumikia jamii, na pesa haina thamani yeyote kama itapatikana kwa kuikandamiza jamii kwa namna moja ama nyingine.
Jamii yenye wasomi wanaofikiria thamani ya pesa zaidi ya thamani ya njia ya kupata pesa naifananisha na jamii ya kiafrika, jamii ambayo inawasomi wenye pesa lakini dunia yao haina pesa.
Elimu inampa mtu uwezo wa kuona na kutatua changamoto katika jamii, kufanya hivyo jamii inampa muhusika kiwango cha pesa sawa na huduma yake. Hiki ndio ninacho maanisha.Nakubaliana na kila kitu ulichoandika. Ila hapo unaposema thamani ya hela inaonekana baada ya kuitumikia jamii naomba ufafanue zaidi mkuu. Inawezekana sijaelewa vizuri point yako hapo. Asante sana.
Ndio maana mwanzo nikaandika kila maamuzi yanayofanyika (bila kujali ubora wake) lazima yawe na effects katika jamii.Mkuu umeandika vizuri lakini sasa mm ninachojiuliza mbona kuna watu wana elimu wanaitumia effectively lakini bado hawana pesa ? Mfano waalimu wapo wanaofanya kazi kweli kweli tena mfano kama mm huwa nafundisha kweli kweli sipendi kuona mwanafunzi hajaelewa alafu niridhike najikuta natumia muda wangu kuhakikisha ameelewa nilichopanga aelewe lakini kila siku nina shida mpaka basi ,kwa sababu sioni wakuapriciate mchango wangu,unakuta hata daraja unaliangaikia mpaka unakata tamaa.
Jamii nayo inaangalia value au thamani ya huduma. Kama kuna watu kadhaa wanaotoa huduma hio kwa kiwango sawa, jamii itafuata yule mwenye bei ndogo zaidi. Watu wanaanzisha biashara ila zinakufa sababu ukiuza bei ya chini, faida hakuna. Ukiuza bei ya juu, wateja hakuna. Hasa kwa biashara mpya inakuwa hivyo. Biashara za muda mrefu kwa asilimia kubwa wameshajua namna ya kutunza wateja.Elimu inampa mtu uwezo wa kuona na kutatua changamoto katika jamii, kufanya hivyo jamii inampa muhusika kiwango cha pesa sawa na huduma yake. Hiki ndio ninacho maanisha.
Kama unapata elimu na haikuwezeshi kuwa na fedha bado elimu haijakusaidia. Watu wengi wamesoma sana ila wanafeli kuzitumia elimu zao kuyamudu mazingira ili wapate mahitaji muhimu.