SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Hivi Nyie Hawa Maticha wa Ukweli Mnawapima Vipi???..Umejuaje kama Kinadharaulika??..wewe mwenyewe Nadhani ni Muumini wa Hizo Classical/Convetional Univ!!Open university elmu yao iko poa,nadhan baada ya udsm,sua hyo open ni ya 3,kina maticha wa ukwel zaid hata ya waloko mzumbe,udom,iaa,ifm na kwngneko.tatzo kinadharaulika coz wahitimu weng wa bongo wao wanajua elimu inapatkana kwenye convectional universities 2.