Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
wanajanvi naomba mnipe tafsiri ya hili suala la kusinzia bungeni kwa wabunge wa Chama cha Magamba...sijawahi kuona mbunge wa upinzani zaidi ya Mzee wtu mrema akisinzia inamaana wabunge wa upinzani wako active zaidi ya wale wa chama cha magamba? kwa nini tusiwape nchi kwa miezi hata miwili tuone matokeo yake?