Kushika mimba Tanzania isiwe hofu kupoteza ya maisha.

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Nov 24, 2012
2,977
1,897
Kuna Dada mmoja amefariki wakati wa kujifungua lakini Sasa naona kama imekuwa ni kawaida Sasa. Vifo vya kinamama vimezidi sana inafikia hatua watu wanne au watatu wa karibu. Juzi Kati nimeona hadi mwandishi wa habari pia.

Hebu tuanze campaign ya kuhusu uzazi salama. Wadau wa Afya tuliangalie hili jambo upya kabisa.
 
Back
Top Bottom