Kura za maoni zinarudiwa baina ya Sioi Sumri na W. Srakikya kwa kuwa hawakufukisha asilimia 50.
Demokrasia CCM ni safu sana.
Source: Nape kupitia Clouds FM
Kura za maoni zinarudiwa baina ya Sioi Sumri na W. Srakikya kwa kuwa hawakufukisha asilimia 50.
Demokrasia CCM ni safu sana.
Source: Nape kupitia Clouds FM
Kura za maoni zinarudiwa baina ya Sioi Sumri na W. Srakikya kwa kuwa hawakufukisha asilimia 50.
Demokrasia CCM ni safu sana.
Source: Nape kupitia Clouds FM
taarifa za hivi punde ni kwamba kamati kuu ya halmashauri kuu ya ccm imeamua uchaguzi wa kura za maoni kumpata mgombea wa chama hicho katika jimbo la arumeru mashariki urudiwe machi mosi kwa mshindi wa kwanza siyoi jeremia sumary na mshindi wa pili william sarakikkya.katika uchaguzi uliopita mshindi hakuvuka nusu ya kura hivyo haitohi picha kamili habari ndo hiyo nmawasilisha
Kama hii ni kweli, na walishamtangaza Sioi, basi kuna tatizo kubwa sana kwenye mfumo wa sasa, ina maana hawakujua kwamba hakuna aliyefikisha 50% hadi waende mbele?Kura za maoni zinarudiwa baina ya Sioi Sumri na W. Srakikya kwa kuwa hawakufukisha asilimia 50.
Demokrasia CCM ni safu sana.
Source: Nape kupitia Clouds FM